Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 46,049
- 113,953
Kweli mkuu ndivyo ilivyoduuh
Kweli mkuu ndivyo ilivyoduuh
Mnazijua nyinyi nani na so what? Huo ushamba kapeleke huko kwenu madongo poromoka hatishwi mtu hapa jf.Why can't you just be real!? Woga wa nini sasa😀🙌🏿❗
ID mlima kama zinaleta pesa!?
You just can't hide your inner self...!
Your reaction...!
Your handwriting...!
Your cycles...!
Your puppetism...!
ID ya kusifu watu.
ID ya kutukana na kukashifu.
ID ya mizinga.
ID ya utakatifu feki🙌🏿🙆🏿♂
ID za uzinzi nknk..❗❗❗
Shida sio kuwa na ID nyingi kwakuwa sheria inaruhusu.. Shida ni je unazitumiaje?😂
Basi tu tunasitiriana na kupotezea maana tunatambua changamoto za maisha na afya ya akili vinavyotesa wengi
ID ni kinyago unaweza kukibadili lakini sio uhalisia wako❗
ID ZENYU TUNAZIJUA...😂View attachment 3667736
Hela wanakuwa wanaombaje? Wanaanzisha threads za michango au?Kuna ID mahususi ya kusaka mbunye, nyingine ni spesho kwa ajili ya kuombea hela.
Tuvumiliane katika kipindi hiki kigumu.
Mtafte anaitwa now Mufti kuku The Infinity 😅😅Hivi adriz mdogo wangu kapotelea wapi jamani? Tangu tupigwe naye ban hajarudi! Zile ban watu wakahisi tuko kundi moja na kina mongolian na wewe😂
Ndio nani yake?Mtafte anaitwa now Mufti kuku The Infinity 😅😅
Duhh kibarua!!adriz de mbusii angalia background picha na hii ya Mufti kuku The Infinity
Unajuaje mkuu.Yule kijana de nguna ana ID kama 40 , lakini 39 zote hua anafanya uomba omba
Hahahah we unahisi ni coincidence 😅.Duhh kibarua!!
Aisee nikajua wanamuiga kama anavyodai mara nyingi humu!Hahahah we unahisi ni coincidence 😅.
Kwanini wana same pic hapo background pic 😅.
You can't fake it all .
Lakini none of them matter wawe na millions IDs its fine.Aisee nikajua wanamuiga kama anavyodai mara nyingi humu!
Kabisaa! As long as it doesn’t affect anyone Let them be..Lakini none of them matter wawe na millions IDs its fine.
Watu wanaishi maisha yao humu. Well !! and for that we don't care.
Watu wanakuwa too emotionally humu.Kabisaa! As long as it doesn’t affect anyone Let them be..
Mbona mimi sio adriz de mbusii 😁😁Mtafte anaitwa now Mufti kuku The Infinity 😅😅
Ndio hata mimi sitaki kuonewa😂Watu wanakuwa too emotionally humu.
Wengine mpaka wanatukanana 😅.
Adriz kama ni wewe nimekumissMbona mimi sio adriz de mbusii 😁😁