Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Nilisema na nitasema tena. Huwezi ua maelfu ya watu alafu Dunia ikakuacha.
Mbunge wa Bunge la Congress Marekani Ayanna Pressley ametoa tamko kudai uchunguzi huru wa Kimataifa kuhusu mauaji maelfu ya Watanzania yaliyofanywa na vyombo vya Ulinzi wa Usalama wakati na baada ya uchaguzi.
Ikumbukwe kiongozi Mkubwa duniani kuunga mkono wito huu alikuwa Waziri Mkuu Mstaafu wa New Zaeland Bi Helen Clark.
Samia, DGIS, IGP na CDF tukutane ICC. Ni suala la muda tu.
Mbunge wa Bunge la Congress Marekani Ayanna Pressley ametoa tamko kudai uchunguzi huru wa Kimataifa kuhusu mauaji maelfu ya Watanzania yaliyofanywa na vyombo vya Ulinzi wa Usalama wakati na baada ya uchaguzi.
Ikumbukwe kiongozi Mkubwa duniani kuunga mkono wito huu alikuwa Waziri Mkuu Mstaafu wa New Zaeland Bi Helen Clark.
Samia, DGIS, IGP na CDF tukutane ICC. Ni suala la muda tu.