ICC yazidi kunukia kwa Samia na Wakuu wa Vyombo. Mbunge wa Congress Marekani ataka Uchunguzi huru Mauaji ya raia Tanzania

ICC yazidi kunukia kwa Samia na Wakuu wa Vyombo. Mbunge wa Congress Marekani ataka Uchunguzi huru Mauaji ya raia Tanzania

Nilisema na nitasema tena. Huwezi ua maelfu ya watu alafu Dunia ikakuacha.

Mbunge wa Bunge la Congress Marekani Ayanna Pressley ametoa tamko kudai uchunguzi huru wa Kimataifa kuhusu mauaji maelfu ya Watanzania yaliyofanywa na vyombo vya Ulinzi wa Usalama wakati na baada ya uchaguzi.

Ikumbukwe kiongozi Mkubwa duniani kuunga mkono wito huu alikuwa Waziri Mkuu Mstaafu wa New Zaeland Bi Helen Clark.

Samia, DGIS, IGP na CDF tukutane ICC. Ni suala la muda tu.

View attachment 3505928

Mjumbe wa baraza la Congress Bi. Ayanna Pressley ana ushawishi mwingi katika kusukuma ajenda zichukuliwe uamuzi
1763831978460.jpeg
 
ICC mbona haijaingilia SUDAN,CONGO?

Nyie mnajidanganya tu.
 
Sadamu huseni alikaliwa kooni kwa kuua watu 146 hwa wa kwetu inasemekana wameua zaidi ya elf 10, ni wengi sana ni swala la muda namhurumia sana mama kuona bado anang'ang'ania madaraka hajui historia ya dunia anaweza kuja kuondoka vibaya sana!! Ingekuwa mimi ningekimbia ili yanikutie huko mbele ya safari kama yule wa NEPAL
 
Nilisema na nitasema tena. Huwezi ua maelfu ya watu alafu Dunia ikakuacha.

Mbunge wa Bunge la Congress Marekani Ayanna Pressley ametoa tamko kudai uchunguzi huru wa Kimataifa kuhusu mauaji maelfu ya Watanzania yaliyofanywa na vyombo vya Ulinzi wa Usalama wakati na baada ya uchaguzi.

Ikumbukwe kiongozi Mkubwa duniani kuunga mkono wito huu alikuwa Waziri Mkuu Mstaafu wa New Zaeland Bi Helen Clark.

Samia, DGIS, IGP na CDF tukutane ICC. Ni suala la muda tu.

View attachment 3505928
Rabaika
 
A Twitter statement coming from a black congresswoman ought to make a lot of pressure on a single foreign government out of hundreds with worse conditions.

Typical political bs.
 
A Twitter statement coming from a black congresswoman ought to make a lot of pressure on a single foreign government out of hundreds with worse conditions.

Typical political bs.
Your statement ought to have made a little sense to some idiots had it not included the words "out of hundreds with worse conditions"
This goes to show how much crap there is in your inflated skull.

However, just to be clear, Tanzania will not depend on anyone, but itself to get rid of the skunk we have.
 
Ushahidi wa mauaji ya halaiki ni mwingi sana. Ni vigumu sana kuchomoka kwenye hii ishu.

ICC ikizingua kwenye hii ishu itakosa credibility sana kiasi cha kuweza kuhatarisha hata uwepo wake. Kwa hiyo lazima itafanya jambo!
Kwa nini tuitegemee ICC kufanya jambo wakati sisi wenyewe tunaweza kulifanya?

Hii tabia ya utegemezi wa kila jambo unanishangaza sana, na sijui unatoka wapi hasa!

Ina maana tukae pembeni tusubiri ICC waje wafanye jambo; wasipokuja je? Tubaki tunashangaa kama ulivyo eleza... hadi lini?
 
A Twitter statement coming from a black congresswoman ought to make a lot of pressure on a single foreign government out of hundreds with worse conditions.

Typical political bs.
Tulia mnyolewe mbwa nyie , kiambie kibibi kiuaji the end is near
 
Pumzi karibu inakata
D9 inawasumbua

Kuna mtu alisema mwaka huu Bunge litakuwa la feifwiem hawatachanganya pumba na…..
 
Kwa nini tuitegemee ICC kufanya jambo wakati sisi wenyewe tunaweza kulifanya?

Hii tabia ya utegemezi wa kila jambo unanishangaza sana, na sijui unatoka wapi hasa!

Ina maana tukae pembeni tusubiri ICC waje wafanye jambo; wasipokuja je? Tubaki tunashangaa kama ulivyo eleza... hadi lini?

Mahakama gani nchi inaweza kukupa haki juu ya jambo kama hili?
 
Trump haiamini CNN anaita fake news
wewe huna akili chuki zako kwa wazungu ksa dini zisikutoe utu vp al jazeera nao mbona wameyasema haya mauaji mara nyng sn tokea sku ya uchaguz hao ndo unawaamin ksa dini au vp..dini za kuja na wazungu na waarabu zmedumaza akili za waafrika ajabu china hakuna upumbavu huu wa hz dini na maisha yanaendelea tu unawachukia wazungu hata kwa mambo ambayo ni ya kibinadamu tu ambayo hayahitaji udini wala rangi ya mtu mamamaeee wallah.
 
Back
Top Bottom