Hamna kitu nisee tu story na kichea tofauti; kiapo cha Ben tayari na kinamlinda mshtakiwa Mahalu; swali je kesi itaendelea? sidhani kama kuna chochote naona wametoa habari iliyofichea kumbe hata Ben huwa anaapa kama raia kuthibitisha madai yake; halafu JK alishitaki vipi wakati wote walikuwa mambo ya nje na habari hiyo alishawahi kuithibitisha bungeni?
Wameweka ushahidi so wakiona hawajaridhika akina JK na mkapa waende mahakamani waache kumwagia watu kwa tindikali; limeenda chimbo kweli kweli leo si mchezo ila kulifungia ni kuonea maana lina uahsahidi kama vipi wakane ushahidi huo
Mh selina Kombani atafanya kazi yake
Mh selina Kombani atafanya kazi yake
Gazeti hili litafungiwa kweli
kwa hii habari duuh
Msilizingatie gazeti hilo kwani linaongoza kwa kukiuka misingi ya uandishi wa habari. Mkitaka kuniamini someni cv ya mhariri wake. Pia, ili habari iwe habari kuna mambo ya msingi matatu ambayo yote mwanahalisi huwa linakiuka.
1. Ni lazima kuwe na 5 Ws + H.
2. Ni lazima maadili yote ya Newsworthiness yazingatiwe.
3. Ni lazima news elements zizingatiwe.
Hayo yote kwa mwanahalisi hayazingatiwi kabisa. Zamani uandishi wa aina hiyo ulikuwa unaitwa yellow Journalism na umewahi kusababisha vita ya nchi kwa nchi.
INASHANGAZA SANA KUONA GAZETI HILI BADO LINACHAPISHWA. NADHANI KUKIUKWA KWA MAADILI YA UONGOZI KATIKA NCHI KUNASABABISHA MAGAZETI KAMA HAYA KUDUMU.
Nitaweza fafanua kama sijaeleweka.
Nkurukumbi, nkurukumbi, niyo yazaile mayenjeeeeeeeeeeeeeeeee, otalitela, otalijumaaaaaaaa, niyo yazaaile mayenjeeeeeeeeeeee......... aghhhhhhhh....... inabidi tuimbe kilugha. We Jeykey utakuwa kama Kombani na Werema. Walisema katiba ibaki kama ilivyo, president au boss wao akasema ifanyiwe mabadiriko sasa na wewe utachongaaaaaaaa alafu gazeti liaendelea kupeta.
kwani kuna ushahidi uliotolewa?
Mhe kombani atafanya kazi yake kwa gazeti hili , hii itakuwa FUNDISHO KWA MAGAZETI MENGINE