Waziri wa sheria na kufunga gazeti wapi na wapi? Tunatakiwa kuperuzi zaidi Sheria ya Magazeti ya mwaka 1976. Hasa tuangalie haki inayotolewa katika kuripoti habari za mahakama.nafikiri wazir wa sheria atafiata taratibu za kulifungia gazeti hili
Bravo 007...Nafikiri Jeykey ndo ajiulize 5Ws+H kabla ya kuning'iniza issue!... you need to convince us why the article is sub-judice. Tafadhali tueleweshe uhuru wa mahakama unaingiliwaje hapa, and I quote kama ulivyoandika, "haijaingilia uhuru wa mahakama"