nafikiri wazir wa sheria atafiata taratibu za kulifungia gazeti hili
Mh! Yupi? Huyuhuyu tulie naye au mpya? Aanze na watuhumiwa wa ufisadi, tuhuma za Mwakyembe maana ziliorodheshwa na gazeti hili hili, tuhuma za Mengi maana zinachafua dola, ndo afuatilie la hii ya leo! Aanze na namba moja ndipo afuatilie yanayofuata hadi la leo.