Augustoons
JF-Expert Member
- Oct 31, 2007
- 409
- 30
Wapi imesemwa kwamba "mahakama inapewa uwezo(discretion) kwa kufuata...."?
Halafu fafanua contradiction ya maneno mekundu.
Naomba kuuliza.
Mhe.Kuhani
Tafsiri hiyo hautoikuta mahala popote kwenye katiba,tafsiri hiyo utaikuta kwenye kesi laws,mfano ukipitia kesi nyingi za katiba za nchi mbalimbali na hata zile za Tanzania mathalani mbushuu Dominic v.AG,Kukutia Ole Pumbuni vs. AG,LHRC VS.AG.,MTIKILA VS AG(1997)TLR,Daudi Pete vs.DP,JULIUS ISHENGOMA NDYANABO vs.AG zote hizi ni celebrated case za katiba ambazo zimegusa sana ibara hiyo ya 30(5).Na tafsiri ya discretion kisheria ni uwezo wa kutenda au kutotenda bila kuingiliwa au kwa plain language ndiyo tunayoita option.