Iache nyumba yako ipumue

Iache nyumba yako ipumue

Hi ni kweli haina ubishi nililiona baada ya kuhama kutoka nyumba ya kupanga kwenda kwenye nyumba ya bure na yenye nafasi ya kutosha, nililala usingizi wa ajabu wa zaidi ya masaa 12
d60e8036c1646a8a2c9e32c5940dfedd.jpg
 
Kuna wakati huwa tunaugua magonjwa yanayosababishwa na sisi wenyewe. Kuna wakati yale tunayoyabeba vichwani mwetu na kushindwa kuyaachilia hivyo hivyo hufanya hivyo kwenye majumba yetu.

Nyumba safi, yenye vitu vichache huchangamsha mwili na kuleta afya ya akili. Si lazima iwe kubwa, hata hiyo ndogo katika udogo wake yaweza kukupa nuru, hewa safi na mwanga mpaka rohoni kama hutaigeuza kuwa ghala.

Hewa safi, nafasi na mwanga wa kutosha ndani ya nyumba/ chumba huufanya mwili kuchangamka na kuwa na siha njema hata kama kula yako ni ya shida.

Nyumba safi iliyopangiliwa vizuri huvutia mahusiano mazuri yenye furaha. Nyumba nayo ina roho hebu ipe nafasi ipumue.

Natambua kuna baadhi yetu kiasili ni wabinafsi na wenye roho ya kukusanya kila kitu lakini kama wakielimishwa wanaweza kubadilika.. Unajua hata hawa wadudu kama kunguni, papasi, chawa mende nk huletwa na nyumba isiyopangiliwa na iliyojazana vitu visivyo na faida tena.

Kuna nyumba makabati ya nguo yamejaa nguo zisizovaliwa tena
Kuna nyumba vyumba na shoes rack vimejaa viatu visivyovaliwa tena
Kuna nyumba chumba cha ghala kimejaa vitu vibovu visivyotumika tena pasi, feni, sufuria viti nknk
Kuna nyumba karibia kila chumba kimejazwa vitu visivyo na faida chini mpaka juu, makawa ya chakula, mapichapicha kutani, vimitomito, vizulia, vipambopambo nknk

Kumbuka kila kimoja kati ya hivyo kimetengenezwa na malighafi tofauti tofauti, kitendo cha kuvirundika vyote sehemu moja husababisha futuko, hewa nzito na harufu za ajabu.

Fanya mambo haya muhimu
Kuwa na tabia ya kugawa vitu usivyotumia tena hasa nguo vyombo na viatu

Vitu vibovu tengeneza, gawa au uza. Kitu kisipotumika muda mrefu huwa mazalia ya wadudu na makao pia
Kuwa na utaratibu wa kuwa na vitu vichache lakini vizuri hata kama thamani yake sio kubwa sana
Fanya kila kitu ndani ya nyumba/chumba chako kiwe na nafasi yake ya kutosha

Usibabanishe vitu, usivipandanishe, usivisokomeze mahali pamoja vitashindwa kupumua

Jaribu kufanya hayo machache utaona hata stress zitakavyokupungua...kuipa nyumba nafasi ya kupumua ni kuupa mwili pia nafasi ya kulerax

Si kila wenye mapepo wametupiwa wengine wameyakaribisha wenyewe kutokana na lifestyle ndani ya sehemu wanazoishi
Hilo nalo neno murua kabisa - nyumba isiwe jalala (dumpsite)!
 
Sisi tunaolala stoo hii inatuhusu au mana tunalala chumbni kuna madumu ya maji kuna sufulia viatu
 
Kuna wakati huwa tunaugua magonjwa yanayosababishwa na sisi wenyewe. Kuna wakati yale tunayoyabeba vichwani mwetu na kushindwa kuyaachilia hivyo hivyo hufanya hivyo kwenye majumba yetu.

Nyumba safi, yenye vitu vichache huchangamsha mwili na kuleta afya ya akili. Si lazima iwe kubwa, hata hiyo ndogo katika udogo wake yaweza kukupa nuru, hewa safi na mwanga mpaka rohoni kama hutaigeuza kuwa ghala.

Hewa safi, nafasi na mwanga wa kutosha ndani ya nyumba/ chumba huufanya mwili kuchangamka na kuwa na siha njema hata kama kula yako ni ya shida.

Nyumba safi iliyopangiliwa vizuri huvutia mahusiano mazuri yenye furaha. Nyumba nayo ina roho hebu ipe nafasi ipumue.

Natambua kuna baadhi yetu kiasili ni wabinafsi na wenye roho ya kukusanya kila kitu lakini kama wakielimishwa wanaweza kubadilika.. Unajua hata hawa wadudu kama kunguni, papasi, chawa mende nk huletwa na nyumba isiyopangiliwa na iliyojazana vitu visivyo na faida tena.

Kuna nyumba makabati ya nguo yamejaa nguo zisizovaliwa tena
Kuna nyumba vyumba na shoes rack vimejaa viatu visivyovaliwa tena
Kuna nyumba chumba cha ghala kimejaa vitu vibovu visivyotumika tena pasi, feni, sufuria viti nknk
Kuna nyumba karibia kila chumba kimejazwa vitu visivyo na faida chini mpaka juu, makawa ya chakula, mapichapicha kutani, vimitomito, vizulia, vipambopambo nknk

Kumbuka kila kimoja kati ya hivyo kimetengenezwa na malighafi tofauti tofauti, kitendo cha kuvirundika vyote sehemu moja husababisha futuko, hewa nzito na harufu za ajabu.

Fanya mambo haya muhimu
Kuwa na tabia ya kugawa vitu usivyotumia tena hasa nguo vyombo na viatu

Vitu vibovu tengeneza, gawa au uza. Kitu kisipotumika muda mrefu huwa mazalia ya wadudu na makao pia
Kuwa na utaratibu wa kuwa na vitu vichache lakini vizuri hata kama thamani yake sio kubwa sana
Fanya kila kitu ndani ya nyumba/chumba chako kiwe na nafasi yake ya kutosha

Usibabanishe vitu, usivipandanishe, usivisokomeze mahali pamoja vitashindwa kupumua

Jaribu kufanya hayo machache utaona hata stress zitakavyokupungua...kuipa nyumba nafasi ya kupumua ni kuupa mwili pia nafasi ya kulerax

Si kila wenye mapepo wametupiwa wengine wameyakaribisha wenyewe kutokana na lifestyle ndani ya sehemu wanazoishi
Huwa nakubali sana nondo za huyu mwamba barikiwa sana mkuu.[emoji120]
Back to the point nadhani kwa wale wenye nyumba zao hii inawahusu kabisa sema tatizo sisi waswahili koko ambao tumepanga uswahilini chumba kimoja
Mfano mimi naishi chumba cha single ambapo humo kuna kitanda, kabati, jiko, tv, fridge, meza na kisofa cha watu wawili hapo hapo ninahifadhi mifuko kadhaa ya cement kwa ajili ya ujenzi wa kijumba changu, pia nimehifadhi mkaa, mahindi, mchele,kwenye kona moja wapo kuna madumu ya maji na ndoo ya kukojolea (huwa sipendi kuchangia choo na majirani wachafu)halafu kwa kuwa mimi ni muuza majeneza kuna wakati mzigo mwingine huwa nakuja kuhifadhi humu humu gheto hata majeneza 10 nayasokomezaga uvunguni mwa kitanda mengine naweka juu ya kabati.
Mbaya zaidi nimeanza ufugaji wa kuku watatu na wote naishi nao gheto mmoja kaatamia mayai pia nna mpango wa kuanza kufuga bata nao ntakuwa naishi nao humo humo gheto nasikia wanazaliana sana ntapata faida haraka.
Kwa hali hiyo unapata picha gheto langu lilivyo yaani hata ukiingia tu unaona kabisa hakuna nafasi hata ya kusimama ni mwendo wa kuruka vitu mpaka ufikie kitandani
 
Huwa nakubali sana nondo za huyu mwamba barikiwa sana mkuu.[emoji120]
Back to the point nadhani kwa wale wenye nyumba zao hii inawahusu kabisa sema tatizo sisi waswahili koko ambao tumepanga uswahilini chumba kimoja
Mfano mimi naishi chumba cha single ambapo humo kuna kitanda, kabati, jiko, tv, fridge, meza na kisofa cha watu wawili hapo hapo ninahifadhi mifuko kadhaa ya cement kwa ajili ya ujenzi wa kijumba changu, pia nimehifadhi mkaa, mahindi, mchele,kwenye kona moja wapo kuna madumu ya maji na ndoo ya kukojolea (huwa sipendi kuchangia choo na majirani wachafu)halafu kwa kuwa mimi ni muuza majeneza kuna wakati mzigo mwingine huwa nakuja kuhifadhi humu humu gheto hata majeneza 10 nayasokomezaga uvunguni mwa kitanda mengine naweka juu ya kabati.
Mbaya zaidi nimeanza ufugaji wa kuku watatu na wote naishi nao gheto mmoja kaatamia mayai pia nna mpango wa kuanza kufuga bata nao ntakuwa naishi nao humo humo gheto nasikia wanazaliana sana ntapata faida haraka.
Kwa hali hiyo unapata picha gheto langu lilivyo yaani hata ukiingia tu unaona kabisa hakuna nafasi hata ya kusimama ni mwendo wa kuruka vitu mpaka ufikie kitandani
halafu kwa kuwa mimi ni muuza majeneza kuna wakati mzigo mwingine huwa nakuja kuhifadhi humu humu gheto hata majeneza 10 nayasokomezaga uvunguni mwa kitanda mengine naweka juu ya kabati.[emoji3064][emoji848][emoji3064][emoji2827]
 
Kuna wakati huwa tunaugua magonjwa yanayosababishwa na sisi wenyewe. Kuna wakati yale tunayoyabeba vichwani mwetu na kushindwa kuyaachilia hivyo hivyo hufanya hivyo kwenye majumba yetu.

Nyumba safi, yenye vitu vichache huchangamsha mwili na kuleta afya ya akili. Si lazima iwe kubwa, hata hiyo ndogo katika udogo wake yaweza kukupa nuru, hewa safi na mwanga mpaka rohoni kama hutaigeuza kuwa ghala.

Hewa safi, nafasi na mwanga wa kutosha ndani ya nyumba/ chumba huufanya mwili kuchangamka na kuwa na siha njema hata kama kula yako ni ya shida.

Nyumba safi iliyopangiliwa vizuri huvutia mahusiano mazuri yenye furaha. Nyumba nayo ina roho hebu ipe nafasi ipumue.

Natambua kuna baadhi yetu kiasili ni wabinafsi na wenye roho ya kukusanya kila kitu lakini kama wakielimishwa wanaweza kubadilika.. Unajua hata hawa wadudu kama kunguni, papasi, chawa mende nk huletwa na nyumba isiyopangiliwa na iliyojazana vitu visivyo na faida tena.

Kuna nyumba makabati ya nguo yamejaa nguo zisizovaliwa tena
Kuna nyumba vyumba na shoes rack vimejaa viatu visivyovaliwa tena
Kuna nyumba chumba cha ghala kimejaa vitu vibovu visivyotumika tena pasi, feni, sufuria viti nknk
Kuna nyumba karibia kila chumba kimejazwa vitu visivyo na faida chini mpaka juu, makawa ya chakula, mapichapicha kutani, vimitomito, vizulia, vipambopambo nknk

Kumbuka kila kimoja kati ya hivyo kimetengenezwa na malighafi tofauti tofauti, kitendo cha kuvirundika vyote sehemu moja husababisha futuko, hewa nzito na harufu za ajabu.

Fanya mambo haya muhimu
Kuwa na tabia ya kugawa vitu usivyotumia tena hasa nguo vyombo na viatu

Vitu vibovu tengeneza, gawa au uza. Kitu kisipotumika muda mrefu huwa mazalia ya wadudu na makao pia
Kuwa na utaratibu wa kuwa na vitu vichache lakini vizuri hata kama thamani yake sio kubwa sana
Fanya kila kitu ndani ya nyumba/chumba chako kiwe na nafasi yake ya kutosha

Usibabanishe vitu, usivipandanishe, usivisokomeze mahali pamoja vitashindwa kupumua

Jaribu kufanya hayo machache utaona hata stress zitakavyokupungua...kuipa nyumba nafasi ya kupumua ni kuupa mwili pia nafasi ya kulerax

Si kila wenye mapepo wametupiwa wengine wameyakaribisha wenyewe kutokana na lifestyle ndani ya sehemu wanazoishi
Mtani we huaminiki wala hutabiriki... Unaweza kukuta nyumba unayozungumzia hapa ni ile nyumba ndogo...
 
Mtani we huaminiki wala hutabiriki... Unaweza kukuta nyumba unayozungumzia hapa ni ile nyumba ndogo...
Mtani wakili wangu kaniambia niwe makini sana..[emoji1544][emoji1550][emoji3]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom