Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,659
- 23,138
Umenikumbusha kuna nyumba moja nilipanga.... Lkn alienipisha aliniomba awache vitu vyake kwa muda maana alikuwa yupo mbali.[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Kuna aina ya mavazi
Aina ya mapambo
Aina ya mziki humtambulisha mtu hata anapoishi...! Unakuta mdada ana furushi la nywele kichwani tena bandia, ana hereni mbili mbili masikio yote, ana Kishaufu puani, ana mapete vidoleni mikono yote, ana mabangili, ana cheni shingoni, shanga kiunoni, vikuku miguuni..
Ana nyusi bandia kabandika, ana makeup mpaka hazitoshani usoni...huyu ukimkuta miziki yake anayopenda.... Ukikikuta chumba chake au nyumba yake ... Ukiikuta dressing table yake ni full vurumai
Sent using Jamii Forums mobile app
Bhana wee hayo mavitu alokuwa nayo mie mwenyewe nlichoka.
Siku alokuja kutoa vitu vyake nilishukuru.
Hayo mawigi. Maviatu mengine hakuwa hata anayavaa. Viti vibovu yaani kuna vyengine nlishaanza kuvitupa kabla hata mwenyewe hajaja. Nikabakiza vile nnojua ni vya muhimu.
Yaani kulikuwa na mapanya hadi tukilala wanatuchupia vitandani.
Baada ya hapo nikafanya renovation na usafi wa kufa mtu. Mpk nahama panya tulikua tunawasikia kwa jirani tu.