Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,082
- 6,421
DahKusikia fedha itaongeza urefu chupi imetingishika
DahKusikia fedha itaongeza urefu chupi imetingishika
Nyege my foot
Yes I can't deny that I wrote this with all my pride coz watu wengine wanafikiri all women looking for a man are after money..hell no.. some of us have our dignities, morals and principles.
Wakipataga hayo yote wanajengekaga kitabia flani hivi ambacho wanaume hatubebagii... si umeona hata anavyojielezea hapo, sijui"my own car"my own house"my business".
Wanapataga pembe flani hivi, baya sana.
Yes I can't deny that I wrote this with all my pride coz watu wengine wanafikiri all women looking for a man are after money..hell no.. some of us have our dignities, morals and principles.
Swala sio kusema, swala ni staili ya usemaji.hasa ulitaka aseme vya nani ? kama mmiliki ni yeye?lol angekua na mume sawa...
Swala sio kusema, swala ni staili ya usemaji.
Mpe kichwa tu mwenzio.
Me nilidhani unamshauri staili nzuri ya usemji. Au na we ni single mother maana unampa libichwa mwenzio ambalo halimsaidii...and don't settle for less mwaya,lol
Naiona sens ya kutotambua nafac yako (mwanamke) kwa mwanaume. Naamini hauna mume wewe, naamini pia umepata shda kwenye mahusiano yako kwasababu ya hilo pembe ulilonalo.mnhh kama mwanaume hutakiwi kufeel inferior kiasi hiki...mkali Simba na anazaa...
Me nilidhani unamshauri staili nzuri ya usemji. Au na we ni single mother maana unampa libichwa mwenzio ambalo halimsaidii...
Naiona sens ya kutotambua nafac yako (mwanamke) kwa mwanaume. Naamini hauna mume wewe, naamini pia umepata shda kwenye mahusiano yako kwasababu ya hilo pembe ulilonalo.
Hata mimi namshauri vivyohivyo, ila pia namshauri asikusikilize saanaa kwenye eneo fulani, atafeli (asijifunze kwa waliofeli)and don't settle for less mwaya,lol
Hiko kicheko kina majonzi ndani yake. (Nafikiri umecheka kuficha majonz)hahahahh piga tena ramli yako,hii imebuma!.
Hata mimi namshauri vivyohivyo, ila pia namshauri asikusikilize saanaa kwenye eneo fulani, atafeli (asijifunze kwa waliofeli)
Hiko kicheko kina majonzi ndani yake. (Nafikiri umecheka kuficha majonz)
Naona umeanza kuongea kama mipasho, naomba nikuachie bendera maana hicho ndo what u can do best.eti usemaji mzuri...khaa ..eti Nampa libichwaa huyo ni wa kupewa libichwa unaona?
Me sio mluga luga ni Liluga luga, sio ndezi ni Lindezi...utakua mluga luga Fulani unayedhani huku mtandaoni unaweza kufanya maagizo kama uko nyumbani kwako...hivi huyo ametaka ushauri au anatafuta mtu? wewe ndezi?



Naona umeanza kuongea kama mipasho, naomba nikuachie bendera maana hicho ndo what u can do best.
Ila msichoke kutafuta (inakupa mwanamke uhuru kiuchumi na inakuongezea machaguo), inasaidia kupunguza dependency ratio, inachangia kipato cha familia. Sambamba na hayo, usisahau kushape tabia yako (as a female, as a wife, as a mother to the society), ujikumbushe mara mbilimbili nafasi ya mwenza wako kwako.
Take it or leave it.