Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,821
acha tuvutike tuaisee,kweli umejipanga kuwavuta mkuu

acha tuvutike tuaisee,kweli umejipanga kuwavuta mkuu

Umeongea kitu cha maana sana Nokia83 .😅😅😅kwa mara ya kwanza tangu nilipoanza kufurahishwa na comments zakoHuu uzi umeandika wakat umevaa nguo?!
Kila kitu kina wakat wake Mungu huwa hachelewi au kuwahi huleta jambo jema kwako pale wakati muafaka unapofika.
Hahahahhaha....
hajamaliza hata 1 week
Hahaha usishangae ukaenda kumtongoza kwa mara ya piliAtakua mwenyeji huyu. Hehehe mjini kunahitaji mahesabu makali kuzisoma namba

Hahaha usishangae ukaenda kumtongoza kwa mara ya pili![]()
![]()
Tena alivyomtaja anampenda mwanaume mrefu nimeshtuka kitu...Bora umestuka. Humu jf unaweza kutongoza mkeo
huu ni mtegohahaaUpweke n kitu kibaya sana, aya muangalien mwngne uyu anaongea peke yake, na hakuna kujiua
una maanisha kwamba hili ni TANGAZO !!!?aisee,kweli umejipanga kuwavuta mkuu
una maanisha kwamba hili ni TANGAZO !!!?aisee,kweli umejipanga kuwavuta mkuu
hahaa " FURSA 2018Ahsante future wife ahsante kwa kunisubili kwa muda mrefu, niko hapa your future Husband, huna haja ya kuchagua tena hapa umefika kipenzi
Karibu
Hawezi kosa mkuu mwache achague roho inachopenda asije pata mfupi tu akiwa ndoani akawa anachepuka na warefuUmejinadi vizuri ila usichague tu aliyepanda juu huenda umepangiwa mfupi . Umesikika wanakuja ila uombe sana kwani kuoa au kuolewa ni mtihani mgumu sana .
I
Haya maneno yangekuwaga kweli, duniani asingekuwepo mwanaume anachepuka, ila things changes once you take her in your home. Kwanza uapangiwa sex maramoja kwa wiki, baadae hana mode kabisa, huko chini pakavu hata upashikeje, mwisho unaona ya nn shida bora ukamate vifaranga vya mtaani under 20 bado kila nati imekaza, ukikashika hata upindo wa gauni tu kameshalowanaHow I wish I had a husband jamani nimechoka kuwa mpweke. Usiku kama huu I have no one to cuddle with in bed just holding my pillow imaging it as a man.
Yan wanaume wa kuoa wapo ila kimbembe mpaka umpate atakae kuvutia. Just like me here I get approached with a lot of men but sijaona alienivutia wengi ni wafupi halafu mimi napenda wale walioenda hewani. Sasa jamani na umri huu nikiendelea kuchagua si nitafika 30 sina dalili ya kuolewa oohh God help. At this age I wish I had 2kids and a lovely husband but non has happened no kids no husband.
Dear future hubby popote ulipo nakuita uje kwa jina la Yesu tuanze mipango ya ndoa yetu mwakani muda kama huu niwe na ujauzito wa miezi mitano for our first born.
Dear hubby I promise to love you to hell like no one ever did before, I will care for you, cook for you, take you for a bath in the morning, wash your clothes, pray for you, love your family, help you financially, give you good sex anytime you need etc.
My lovely husband your future wife needs you now she is so tired of sleeping alone.
Nakupenda mume wangu mtarajiwa naamini kabisa utakua hukuhuku Jf umejifucha tu.
Alafu viandunje huwa vinapenda kweli, sema wana gubu hao!!!
