I've never bin preggo but i will plan....hehehe a father is needed....awe tayari kunisaidia hadi kutema mate
avatar yako mama!!!Dah!! Karucee usiseme shoga yangu leo nilikuwa nataka kuweka uzi niulize hivi kweli hamu ya kuzaa kwa mwanamke huwa inaishaga kweli??
huwez kuamini hata leo nataman tu kuwa mjamzito nimemiss maudh ya mimba halafu nataman zaid kunyonyesha kichanga yaani uwiiiiii sijui nimekuwaje .................
I've never bin preggo but i will plan....hehehe a father is needed....awe tayari kunisaidia hadi kutema mate
eheheeee....sijawai kuwa mjamzito ila i wish that nina mikopo ya folic acid kibao kwa room! pregnant woman to be! natafuta tu father wa kujivolunteer!