nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Mmenikumbusha mume wangu alikuwa anatumia tumbo langu kama excuse...alikuwa akipigwa mkono na traffic basi anasema namuwaisha wife hospital...wengine wakiniona tu manager wanamwambia 'basi nenda'. Kama naendesha mwenyewe ndio full confo utadhani nafanya usalama wa taifa vile...
kiukweli cjui umefikiria nini Karucee, nimependa hizo favour jamani, haukai foleni hata ukute watu wana sura ngumu watakupisha watake wasitake , kama ndo unatumia usafiri wa umma na siti zimejaa utapishwa tu