Ray waniache
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 737
- 507

Huyu mdada nampendaga tu yaani cjui ni kwanini
Long live mange kimambi
Unauhakika gani kama na ww unapendwa na uwapendaoSawa...ila kumbuka mpende akupendae
Sema ujaingia Instagram mbona yupo sanaPost zake kwenye Instagram na Fb sizioni siku hizi ?
Basi mm sionagi post zake sikuizi lakini siku za nyuma nilikuwa nkiziona kwasababu nilisha mfollowSema ujaingia Instagram mbona yupo sana
Hata Mimi nampenda Sasa sijui kimetokea kitu gani.Yaani Instagram Kuna Watu hatumuoni.Wengi wa nalalamika ila alikuja siku moja kwenye page yake ingine kwamba aliwapunguza wapya.Sijui kwa nini.Ila nitampata tu kwa njia ingine. Ukweli Mange anaongeza urefu wa kuishi Hapa Duniani.Basi mm sionagi post zake sikuizi lakini siku za nyuma nilikuwa nkiziona kwasababu nilisha mfollow
yupo mkuiPost zake kwenye Instagram na Fb sizioni siku hizi ?
yupo mkui
hiyo ya mwisho![]()
Ipi katika hizo A/c ndio yake Halisi au nsaidie kunipigia Screenshot ya Page yake
Habari mbaya kwa mafisadi,wachawi,vilaza wa CCM![]()
Huyu mdada nampendaga tu yaani cjui ni kwanini
Long live mange kimambi
![]()
Ipi katika hizo A/c ndio yake Halisi au nsaidie kunipigia Screenshot ya Page yake
Hakuna account yake ya Insta hapo yake ni @mangekimambi_![]()
Ipi katika hizo A/c ndio yake Halisi au nsaidie kunipigia Screenshot ya Page yake