I love u Mange Kimambi

Ray waniache

JF-Expert Member
Jan 25, 2017
737
507
06bb0c2c5aac47c7b714037542d32d47.jpg

Huyu mdada nampendaga tu yaani cjui ni kwanini
Long live mange kimambi
 
Basi mm sionagi post zake sikuizi lakini siku za nyuma nilikuwa nkiziona kwasababu nilisha mfollow
Hata Mimi nampenda Sasa sijui kimetokea kitu gani.Yaani Instagram Kuna Watu hatumuoni.Wengi wa nalalamika ila alikuja siku moja kwenye page yake ingine kwamba aliwapunguza wapya.Sijui kwa nini.Ila nitampata tu kwa njia ingine. Ukweli Mange anaongeza urefu wa kuishi Hapa Duniani.
 
account yake ni ile yenye followers 1.1 milion herufi za jina lake zimebanana hivi Mangekimambi_
 
Back
Top Bottom