BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Ohoooo zero grazing.......
Be careful
Be careful
Sifikiri ni sahihi kwa mwanamke kumwanza mwanaume ila unauwezo wa kutengeneza mazingira, don't make yourself too cheap or too hard to get, kama anakukaribisha lunch kwenda naye si mbaya kama ni birthday yake kumtumia message ni nzuri pia, au wewe kumualika mahali ukiwa na marafiki zako ni vizuri pia, ila sio mara ya kwanza then unamualika uko mwenyewe tu au aje mwenyewe tu. Usijirahishe sana ila na usiwe mgumu sana, tengeneza mazingira akujue social life yako na kuwa you are available (if you are). Ni normal kwa mwanamke kumpenda mwanaume kabla ya mwanaume kushituka ila ni vyema kumwachia jukumu mwanaume kukutamkia.Habari zenu Guys.... mc u so much...... natumain wote mko poa.... jamani mwenzenu nimempenda Mkaka.... mbaya zaidi tupo ofisi moja kila ninapomuona nashindwa kufanya kazi.... natamani ajue lakini tunaheshimiana sana.....i don knw wat to do.... i am in love
dem mmoja alikua ananiletea swagger za kuinama mbele yanu,kunionesha mapaja,na kifua..,
nikampa finger sku moja...ilibak kidogo apoteze faham
hivi na nyie huwa mnapenda kweli!??? au umesikia mkaka wa watu anakaribia kupandishwa cheo....
Hahahahaaa we main character umenichekesha wewe dah!Acha kumdanganya price wa watu.Ni vzuri kwamba mpo ofisi moja,sasa ikifika jumatatu subiri mpaka muda wa lunch ukifika,wewe jiangushe chini act unakifafa kikuu,hapo lazima aje akusaidie,ndipo na ww unamsaidia zaidi,hapo hachomoki!
kwenye papuchi.,, alitaka zima...
thanx Heart... nashindwa kukuquote coz net inasumbua.... lakini kujenga urafiki pia inaniwia vigumu lakn nitajitahid kuwa karibu nae
Ni vzuri kwamba mpo ofisi moja,sasa ikifika jumatatu subiri mpaka muda wa lunch ukifika,wewe jiangushe chini act unakifafa kikuu,hapo lazima aje akusaidie,ndipo na ww unamsaidia zaidi,hapo hachomoki!
Dem nayempenda ni Manka wa kichaga...nikirudi anaulizaga umeingiza shilingi ngapiiiiii....yani wew sijui unawaza wapi kwani imeandikwa wap ati nyie ndio wenye mapenzi na sisi tuu.... hata kama anakaribia kupandishwa cheo ni heri yake nani anataka mwanaume mzigo
Sifikiri ni sahihi kwa mwanamke kumwanza mwanaume ila unauwezo wa kutengeneza mazingira, don't make yourself too cheap or too hard to get, kama anakukaribisha lunch kwenda naye si mbaya kama ni birthday yake kumtumia message ni nzuri pia, au wewe kumualika mahali ukiwa na marafiki zako ni vizuri pia, ila sio mara ya kwanza then unamualika uko mwenyewe tu au aje mwenyewe tu. Usijirahishe sana ila na usiwe mgumu sana, tengeneza mazingira akujue social life yako na kuwa you are available (if you are). Ni normal kwa mwanamke kumpenda mwanaume kabla ya mwanaume kushituka ila ni vyema kumwachia jukumu mwanaume kukutamkia.
Sa ndo hadi unashindwa kufanya hadi kazi, ukifukuzwa je? Anyway jitahisi umuoneshe lugha ya picha hadi akuelewe, sasa sijui akikutolea nje itakuwaje mmmh
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
dem mmoja alikua ananiletea swagger za kuinama mbele yanu,kunionesha mapaja,na kifua..,
nikampa finger sku moja...ilibak kidogo apoteze faham
hivi heshima inaua mapenzi? maana nimekuwa nasikia sana hizi kauli "namheshimu/nakuheshimu........siwezi kuwa na wewe/siwezi kumwambia/iweje uniambie hayo??
nipe namba yake nikutongozee.
Play this card,mmezoeana na mnaheshimiana,ryt?Hebu ghafla weka umbali nae,jitahid kumkwepa sana na maongezi yawe machache tena ya muhimu yanayohusiana na kazi.
Fanya hvyo wiki nzima,lazima atanotice kitu na atakufata kukuuliza kama kuna tatizo!muignore na endelea na kazi,atarudi tena na hapo kama muungwana atagundua una tatizo na atataka kusaidia japo kwa mawazo,kwakuwa kazini si mahala pa mambo hayo atakuomba baada ya kazi muonane mzungumze!hapo sasa,lazima atakubembeleza ajue nini tatizo,hahahaa uwanja unakuwa wako sasa,mpe that look ambalo ni adimu,mlegezee jicho kwa kama dk kadhaa c unajua!ataingia 2 kwny mkenge
Habari zenu Guys.... mc u so much...... natumain wote mko poa.... jamani mwenzenu nimempenda Mkaka.... mbaya zaidi tupo ofisi moja kila ninapomuona nashindwa kufanya kazi.... natamani ajue lakini tunaheshimiana sana.....i don knw wat to do.... i am in love