Hahahahah....nimeipenda hii picha!!Natamani siku moja na mimi nikwide polisi namna hii!!!!:msela:
Hahahahah....nimeipenda hii picha!!Natamani siku moja na mimi nikwide polisi namna hii!!!!:msela:
ni uamuzi tu kwamba sasa basi imetosha,kuna jamaa mwenye umbo dogo sehemu tunayocheza pool alitukanwa vibaya na pande la mtu akamwambia naomba uniache yule bonge akaendelea kumtusi baada ya dakika kadhaa tukastukia bonge yupo chini katapakaa damu uso mzima tukashangaa.Sisi tunabebwa kijuu juu na polisi ....wao wanawakwida!!!I wish it was the other way around....wangekua na heshima hao!!!
ni uamuzi tu kwamba sasa basi imetosha,kuna jamaa mwenye umbo dogo sehemu tunayocheza pool alitukanwa vibaya na pande la mtu akamwambia naomba uniache yule bonge akaendelea kumtusi baada ya dakika kadhaa tukastukia bonge yupo chini katapakaa damu uso mzima tukashangaa.
Duh! kamanda kijijini kwenu kuna shoga ? basi mtakuwa mmeendelea lol!kuna njemba inaenda gym daily na kufanya ma heavy weight lifting tukawa tunaiona ndio mbabe hapa kijijini. dah! kuna siku iliwekwa kibano na shoga tu mpaka ikaokolewa na balozi wa nyumba kumi. kulaleki!
Mhhh shem hutaki tuwafunze adabu polisi wetu???
liko moja ni import kutoka mombasa, tangu lihamie mvua zimegoma kunyesha. tumekubaliana kuliloga lakini halirogeki bana. dah! imekula kwetuDuh! kamanda kijijini kwenu kuna shoga ? basi mtakuwa mmeendelea lol!
liko moja ni import kutoka mombasa, tangu lihamie mvua zimegoma kunyesha. tumekubaliana kuliloga lakini halirogeki bana. dah! imekula kwetu
nilihama kijiji mkuu, baada ya lishoga kumbomonda huyo mbabe wetu wa kijijini ikabidi wengine tutimue maana lilisema likikerwa sana litaanzisha kipigo cha shuka kwa shuka. dah!Mkuu inaonyesha upo naye karibu sana! una namba yake ? Kuna jirani yangu hapa ameniulizia
Hahaha! shuka kwa shuka huyo atakuwa mfuasi wa Mama wa kwanza lol!nilihama kijiji mkuu, baada ya lishoga kumbomonda huyo mbabe wetu wa kijijini ikabidi wengine tutimue maana lilisema likikerwa sana litaanzisha kipigo cha shuka kwa shuka. dah!