I hate Shorty Ladies..

I hate Shorty Ladies..

kama hujaoa nakuhakikishia utakuja kuoa mwanamke mfupi mpaka usiamini utarudi hapa kulidhibitisha Mungu hadhihakiwi upandacho utakivuna

ahukumuye huukumiwa pia.
as the way u do here!!
 
ahukumuye huukumiwa pia.
as the way u do here!!

sijakuhukumu hapo nausidhani utaoa pasipo kupenda Mungu ni wa ajabu usitoe neno juu ya uumbaji wake ungejikalia kimya wangu!! anakupiga upofu wa kutokuwaona warefu unajikuta umezama kwa mfupi na umependa vibaya, we tubu kwa Mungu na umuombe akupe mtazamo mpya, kuna watu hawapendi watu warefu ila wamekaa kimya!!!!!niachie hapo nisiendelee zaidi ila tubu yasiwapate kizazi chako ni kwa upendo tuu!!!!!!!!
 
sijakuhukumu hapo nausidhani utaoa pasipo kupenda Mungu ni wa ajabu usitoe neno juu ya uumbaji wake ungejikalia kimya wangu!! anakupiga upofu wa kutokuwaona warefu unajikuta umezama kwa mfupi na umependa vibaya, we tubu kwa Mungu na umuombe akupe mtazamo mpya, kuna watu hawapendi watu warefu ila wamekaa kimya!!!!!niachie hapo nisiendelee zaidi ila tubu yasiwapate kizazi chako ni kwa upendo tuu!!!!!!!!

umeeleweka mkuu
 
Chuki ni tabia mbaya kwani ni miongoni mwa tabia inayokua utaanza kwa wafupi ila hautaishia utaamia kwa warefu wembamba safari haitaishia hapo mwisho wa siku unaamia kwa watu wako wa karibu mana hata kama kwenu wote mmezaliwa walefu lakini utakuta kaka yako kaoa mfupi inamaana chuki kwa shemeji yako utaificha ipo siku utashindwa wakati unajiuliza mdogo wako wa kike kaolewa na shepu tena usioipenda ujakaa vizuri mungu kaskia maombi yako huyo mkeo mrefu kumbe ana ex wake mbilikimo alikuwa anachepuka nae hatimae unabambikwa mimba bila kujijua mtoto anazaliwa umri kadri unavyozidi kwenda ndio anazidi kuwa mfupi
 
Hii ndo jf...kipindi unapost ulitegemea watu wakandieeee! Pole sana kwa maana bado hujajitambua mpaka leo hii! Siku hiyo miguu mirefu inayokupa kiburi ikivunjika ukaanza kutembelea magongo ama kutambaa ndipo utakapopata akili...n by that time it will be too late!
 
Best yangu uran...leo umechemka my dia..usiwe unapenda kukosoa viumbe vya mungu aliowaumba!does it mean kwenye familia ya dady ako na mamy ako wote warefu?huon kama na hao nduguzo utakua umewadharau kwa kuongea hyo maneno?
 
kama hujaoa nakuhakikishia utakuja kuoa mwanamke mfupi mpaka usiamini utarudi hapa kulidhibitisha Mungu hadhihakiwi upandacho utakivuna

Hakuna kitu kama hicho wala Mungu hafanyi unachokiwaza wewe na wala Mungu halipizi kisasi kwa binadam, wala Mungu hafanyi jambo kumkomoa binadam eti kisa kakashfu,huyo atakua shetani.
 
Chuki ni tabia mbaya kwani ni miongoni mwa tabia inayokua utaanza kwa wafupi ila hautaishia utaamia kwa warefu wembamba safari haitaishia hapo mwisho wa siku unaamia kwa watu wako wa karibu mana hata kama kwenu wote mmezaliwa walefu lakini utakuta kaka yako kaoa mfupi inamaana chuki kwa shemeji yako utaificha ipo siku utashindwa wakati unajiuliza mdogo wako wa kike kaolewa na shepu tena usioipenda ujakaa vizuri mungu kaskia maombi yako huyo mkeo mrefu kumbe ana ex wake mbilikimo alikuwa anachepuka nae hatimae unabambikwa mimba bila kujijua mtoto anazaliwa umri kadri unavyozidi kwenda ndio anazidi kuwa mfupi

mbona unatumia sana hisia wakati umesoma title tu?
sikubaliani na wewe.
and mind you hata haya unayosema, na unayotaka yamtokee mwenzio hata kwako inawrzekana.
 
Mi kunam1 nilipita sikurudi tena thanx kwa taarifa... usiniquote!
 
Nenda kaombewe una pepo la chuki, Unawachukia watu wafupi lakini Mungu anawapenda sana. Mungu anataka tupendane na ndio amri kuu kuchukia mwenzako ni roho ya shetani jitahidi kukaa mbali nayo ndugu.
 
Nenda kaombewe una pepo la chuki, Unawachukia watu wafupi lakini Mungu anawapenda sana. Mungu anataka tupendane na ndio amri kuu kuchukia mwenzako ni roho ya shetani jitahidi kuishinda kukaa mbali nayo ndugu.
 
Sidhani kama kuna mtu kaumbiwa kupenda kila kitu.
Na kila mtu naamini anakasoro yake..

Mimi kasoro yangu ni kwa wadada wafupi. hata uwe mzuri kiasi gani, ukiwa mfupi tu!
baasi!! nitakuchukulia kivingine.

Thats my big weakness..
Ufupi wa Below 4.5 feet kwangu ni shida, na hili limenikaa kwa muda mrefu sana.

What can I do to change my attitude?

Katika shughuli za kawaida, mara nyingi nakutana na watu wa type hii na huwa najizuia sana, dharau yangu isidhihirike wazi.

unaitafuta laana itakayokutafuna wewe na uzao wako. utazaa mabinti tu na wafupi mnoooo! watakuwa wanakimbiwa na wanaume hawatakuja kuolewa.uumbaji wa MUNGU haukosolewi kiivo
 
^^
Mungu alijua tatizo lako, ndio maana aliumba wanawake warefu. Relax
Kila ndege hutua mti aupendao. Tafuta mti mrefu utapata tu kuliko kusema sana mwisho upatwe na ya mcheka kilema
^^
 
Wewe utakuwa mfupi...mimi ni mrefu saaaaana ila nakuambia nienjoy kudate na watu wafupi( sio mbilikimo)...warefu wavivu sana kwenye 6*6..wafupi wanajituma sana ili uwaone wako poa, wanaweza kukutoa nishai...wewe raha mustareee

duh!!! hatari
 
Back
Top Bottom