unaenda wapi msaport mumeo hapa nyie si matallest?
i love u...
ebwana wafupi wakorofi balaaaa....ila dah mie penda tall women yaani ni wazuri na wataratibu kweli
Tujulishe kabisa,ameishaolewa au bado anasoma namba na kuvizia waume za watu,
ubaguzi ni laana,mtu anayejiapiza kumchukia binadamu mwenzie bila sababu ya msingi ukifuatilia maisha yake yanaishia pabaya.
Tujulishe kabisa,ameishaolewa au bado anasoma namba na kuvizia waume za watu,
ubaguzi ni laana,mtu anayejiapiza kumchukia binadamu mwenzie bila sababu ya msingi ukifuatilia maisha yake yanaishia pabaya.
pick up my call..
mhhh haya watu wafupi washakosa soko!!
Mkuu kwa hii post jamaa anaweza kufuta kauli.Subiri siku upate ajali ukatike miguu alafu ukutane na mtu aseme i hate waliokatika miguu utapata maana ya ulichopost
Umeona eeh!Hajaolewa mpk sasa halafu mungu anajua kumpa mtu adhabu wanaume wanaomtokea ni hao hao wafupi
nimekiri udhaifu wangu mkuu..
ndiyo maana nikaandika, sipendi iwe kama ilivyo.