I hate Shorty Ladies..

I hate Shorty Ladies..

Mtoa mada tubu kwa Mungu,utakufa kibudu ukijiona ila kama ni wale wa div 5 naomba tukusamehe bure maana hata walimu walokufundisha walipata hiyo alaf hawakufanyiwa usahili kuingia kazini
 
Sidhani kama kuna mtu kaumbiwa kupenda kila kitu.
Na kila mtu naamini anakasoro yake..
mimi kasoro yangu ni kwa wadada wafupi. hata uwe mzuri kiasi gani, ukiwa mfupi tu!
baasi!! nitakuchukulia kivingine.

Thats my big weakness..
Ufupi wa Below 4.5 feet kwangu ni shida, na hili limenikaa kwa muda mrefu sana.

What can i do to change my attitude?

Katika shughuli za kawaida, mara nyingi nakutana na watu wa type hii na huwa najizuia sana, dharau yangu isidhihirike wazi.

Jf sasa imetia fola,kila siku ni visa na mikasa,mara makabila malaya,mara makabila yasiyojua chochote,sasa upepo umehamia kwa wafupi,najua ikitoka inaweza kuelekea kwa wanene,wanene mjiandae

sema kilichopo moyoni mwako,usife kijerumani na tai shingoni,sema eiza watu watapenda au hawatapenda ila umesema,
 
Mkuu kama nataka ku balance basi anza ku date na wasichana wafupi, najua mwanzoni utapata taabu sana lakini kadri unavyoendelea utawazoea.

Mkuu mimi nilijaribu lakini,dah! Niliekua nae alinishnda. Kila mtu na bahati yake!
 
Ulisha wahi kujiuliza wewe unakasoro gani na inawakera watu kwa kiasi gani? Kuna uwezekano kero yako kwa hao wafupi ni zaidi ya kero yako kwa jamii nzima, huenda unanuka mdomo na kila unaeongea nae anachukia ila anashindwa kukwambia, muombe sana mungu akufungulie ujue mapungufu yako kabla ya mwingine na hapo ndio utajua mungu alikuwa na maana gani pale YESU ALIPO WAPITA WATU WALEFU ZAIDI YAKO WEWE NA KWENDA KUKUTANA NA BWANA ZAKAYO AMBAE NI MFUPI ZAIDI YA HAO UNAOWACHUKIA WEWE

sijui ww ni me au ke,bt umempa ushauri mzuri xana.kip it up,hu ndo uchambuzi yakinifu.
 
Kwa nini umdharau binadamu mwenzio kisa maumbile?

hakuna aliyependa kuwa hivyo alivyo.

nimekiri udhaifu wangu mkuu..
ndiyo maana nikaandika, sipendi iwe kama ilivyo.
 
Mtoa mada tubu kwa Mungu,utakufa kibudu ukijiona ila kama ni wale wa div 5 naomba tukusamehe bure maana hata walimu walokufundisha walipata hiyo alaf hawakufanyiwa usahili kuingia kazini

hujaeleweka mkuu.
 
Mungu ameumba watu kwa njia ya pekee sana, ameumba wengine wafupi na wengine warefu, ameumba mweupe na mwingine mweusi. Ameumba hvyo kwa ajili ya ku meet every human satisfaction. Kwa anayependa mfupi,anayependa mrefu,mweus or mweupe apate sawa na hitaj lake. Ushauri ni kuwa usimchukie na wala msidharau mtu kwa maumbile au rang yke maana utakuwa against na muumbaji, cha kufanya jitahid kumpenda kila mtu maana ameumbwa kwa jinsi ya ajabu na kupendeza hta kama c kwako havutii bal kwa mtu mwingine uvutia na kupendeza xana.

Amen!!
Asante sana kwa ushauri madhubuti
 
Mungu nae ana makusudi yake, tungekua wote warefu nani angemweshimu mwenzie?Ukiskia maajabu ya Mungu ndo hayo pia.
 
kuna mtu alisema kwenye uzi flani hivi

mbona siku hizi hatuokoti ela
watu wakamjibu wewe umedondosha ngapi

namanisha ukiona upaati watu wa refu utakua na wewe mfupi
lets say kwa mfano mimi nina 164.5 mpenzi wangu ana 182 kwa sababu hivyo vyote ni vipimo vya urefu

sasa kabla huja wachukia jiulize weewe ni mrefu
ila do u knw kwamba hamna mtu mfupi inategemea tu umesimama na nani
 
ebwana wafupi wakorofi balaaaa....ila dah mie penda tall women yaani ni wazuri na wataratibu kweli
 
Sidhani kama kuna mtu kaumbiwa kupenda kila kitu. Na kila mtu naamini anakasoro yake.. mimi kasoro yangu ni kwa wadada wafupi. hata uwe mzuri kiasi gani, ukiwa mfupi tu! baasi!! nitakuchukulia kivingine. Thats my big weakness.. Ufupi wa Below 4.5 feet kwangu ni shida, na hili limenikaa kwa muda mrefu sana. What can i do to change my attitude? Katika shughuli za kawaida, mara nyingi nakutana na watu wa type hii na huwa najizuia sana, dharau yangu isidhihirike wazi.
Acha dharau wewe! Kwanza utambue kuwa hakuna mtu aliyeomba urefu/ufupi wakati anaumbwa. Na utambue ni kosa kumchukia mtu bila sababu za msingi. Poleni wadada wote wafupi mnaochukiwa na huyu jamaa. Mimi nawapenda sana!
 
si inadaiwa wengi wao ni vicheche sana halafu wabishi pia.ila mimi napenda videmu vifupi (not pygmies ) sababu ni rahisi kubinuka navyo kunako 6×6.vingi vipo flexible.vitundu na vinajua kucheza na "mpododo".
ukisema cha nini wengine tunasema tutakipata lini.
 
Ulisha wahi kujiuliza wewe unakasoro gani na inawakera watu kwa kiasi gani? Kuna uwezekano kero yako kwa hao wafupi ni zaidi ya kero yako kwa jamii nzima, huenda unanuka mdomo na kila unaeongea nae anachukia ila anashindwa kukwambia, muombe sana mungu akufungulie ujue mapungufu yako kabla ya mwingine na hapo ndio utajua mungu alikuwa na maana gani pale YESU ALIPO WAPITA WATU WALEFU ZAIDI YAKO WEWE NA KWENDA KUKUTANA NA BWANA ZAKAYO AMBAE NI MFUPI ZAIDI YA HAO UNAOWACHUKIA WEWE
uran hii itakuafaa sana njoo uisome na uifanyie kazi halafu utatuambia ikiwa utapenda watu wakuchukie kwa mapungufu uliyonayo,au we mwenzetu umekamilika?
 
Last edited by a moderator:
umemaliza kila kitu mkuu hata sijui niongezee nini,unajua mara nyingi watu wenye kuchukia watu wa type fulani huwa wana kasoro zao na hivyo ili kujifariji kwamba hawajali ndo hapo wanatumia defensive mechanism ya kuwashuhsa wenzao ili wao waonekane wako juu licha ya mapungufu yao.
Ulisha wahi kujiuliza wewe unakasoro gani na inawakera watu kwa kiasi gani? Kuna uwezekano kero yako kwa hao wafupi ni zaidi ya kero yako kwa jamii nzima, huenda unanuka mdomo na kila unaeongea nae anachukia ila anashindwa kukwambia, muombe sana mungu akufungulie ujue mapungufu yako kabla ya mwingine na hapo ndio utajua mungu alikuwa na maana gani pale YESU ALIPO WAPITA WATU WALEFU ZAIDI YAKO WEWE NA KWENDA KUKUTANA NA BWANA ZAKAYO AMBAE NI MFUPI ZAIDI YA HAO UNAOWACHUKIA WEWE
 
Back
Top Bottom