I hate Shorty Ladies..

I hate Shorty Ladies..

unaitafuta laana itakayokutafuna wewe na uzao wako. utazaa mabinti tu na wafupi mnoooo! watakuwa wanakimbiwa na wanaume hawatakuja kuolewa.uumbaji wa MUNGU haukosolewi kiivo

kila alaaniye hulaaniwa pia.
 
I hate tall man. Wana madushele marefu yanafika hadi kiunoni
 
Kuna aya ndani ya Biblia inasema hivi aonavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo. Na kuhusu namna gani usiwachukie hao watu wafupi, fanya hivi.
Katika kitabu cha Mithali 16:7 tunasoma hivi Njia za mtu zikimpendeza BWANA, Hata adui zake huwapatanisha naye Najua hao ni adui zako tokea moyoni ndio maana ukiwaona unawachukia, basi mrudie BWANA naye atakupatanisha na watu wa namna hiyo, maana hata hao aliwaumba yeye kama alivyokuumba wewe. Wanadamu tunabaguana bali Mungu anatupenda wote. Ndio maana awanyeshea mvua, na kuwaangazia jua watu wote, wema kwa waovu.

Ubarikiwe mkuu
 
Wewe ndo una self esteem issues, kwa sababu sio ishu mtu mwingine awe mrefu au mfupi. Kuna watu wanajisikia vizuri wakiwashusha wengine kwa mitazamo yao wanajisikia wamewazidi. Kama unasema wewe una urefu moderate it means kisaikolojia unahisi unaweza kuwa mfupi so unawachukia wafupi ili ujihisi wewe mrefu. That's my opinion kwa hilo.
 
Never hate but simply do not like them. Personally I don't like any short guy. They are problematic naturally.
 
Sidhani kama kuna mtu kaumbiwa kupenda kila kitu.
Na kila mtu naamini anakasoro yake..

Mimi kasoro yangu ni kwa wadada wafupi. hata uwe mzuri kiasi gani, ukiwa mfupi tu!
baasi!! nitakuchukulia kivingine.

Thats my big weakness..
Ufupi wa Below 4.5 feet kwangu ni shida, na hili limenikaa kwa muda mrefu sana.

What can I do to change my attitude?

Katika shughuli za kawaida, mara nyingi nakutana na watu wa type hii na huwa najizuia sana, dharau yangu isidhihirike wazi.

wewe utakuwa mfupi kama sio moyoni basi kwenye mguu wa 3.
au wazazi wako wafupi and you've been looking down upon them (bila kujijua)
badili MIND SET. kumbuka kila mtu huenda kupima urefu. kwa hiyo ufupi ni relative.
hata wewe ni mfupi kwa waliokuzidi urefu. WAKE UP!
 
Jf cku hizi kuna wapendwa i like that.
Mleta mada nahic umeona mashambulizi tna mengne kw vifungu vya bible.mm wacwac wngu ni juu ya elimu yko.hopefully haijakusaidia kuondoa ujinga au ndo div 5 kma walivyotangulia kusema wenzangu.
 
Kazi ipo. Angalia usipate kiboko cha Mungu ukazaa watoto wafupi. Kuna ndugu yangu mmoja alikuwa anadharau sana mtu kuzaa mtoto ws kike hasa wa kwanza. Kuna siku alisema "kuzaa mtoto wa kiume.ni sawa na kuzaa watoto wa kike wawili". Hadi leo hakuzaa mtoto wa kiume. Ana mabinti wanne na mke late 40s.
 
I hate tall man. Wana madushele marefu yanafika hadi kiunoni

Si kweli. Warefu wengine vibamia. Wafupi matango. Kuna jamaa tulikuwa naye sekondari mfupi ila mzigo ulikuwa hatari. Hakika kama alioa mke.na K ndogo basi ni majanga.
 
Ungesema siyo taste yako siyo kuwachukia...chuki mbaya...

Ila na nyie wafupi msijinyanyapae...marafiki zangu wafupi wananiudhi kwa kutokujiamini; utakuta mtu anakwambia mimi lazima nivae viatu virefu sababu mimi mfupi; ukimwangalia yuko powa na anaweza kuvaa vyovyote akapendeza; lakini wenyewe mnapenda kujidharau...

Kuna mmoja mpaka kaota vigimbi kisa anatafuta urefu kwa kutumia viatu
 
Hata mimi siwachukii ila sikuwahi kuwawazia kama partners maishani (boyfriend/mume) kwa kuwa kumekuwa na theory ambayo na mimi nimesha i taste kuwa hawajiamini...mtu yeyote asiyejiamini ni ngumu sana kuwa naye...


Ila wanawake wako powa sana ingawa wengi wanajishuku ufupi wao...(kima chao akiwafanyi wawe wakorofi kama wanaume)


Never hate but simply do not like them. Personally I don't like any short guy. They are problematic naturally.
 
Hata mimi siwachukii ila sikuwahi kuwawazia kama partners maishani (boyfriend/mume) kwa kuwa kumekuwa na theory ambayo na mimi nimesha i taste kuwa hawajiamini...mtu yeyote asiyejiamini ni ngumu sana kuwa naye...


Ila wanawake wako powa sana ingawa wengi wanajishuku ufupi wao...(kima chao akiwafanyi wawe wakorofi kama wanaume)

Sina hakika sana. Chunguza upya ujiridhishe.
Binafsi wafupi wanaojishuku siwakubali.
To hate means to wish someone death.
 
Ungesema siyo taste yako siyo kuwachukia...chuki mbaya...

Ila na nyie wafupi msijinyanyapae...marafiki zangu wafupi wananiudhi kwa kutokujiamini; utakuta mtu anakwambia mimi lazima nivae viatu virefu sababu mimi mfupi; ukimwangalia yuko powa na anaweza kuvaa vyovyote akapendeza; lakini wenyewe mnapenda kujidharau...

Kuna mmoja mpaka kaota vigimbi kisa anatafuta urefu kwa kutumia viatu
Narekebisha Kauli...
 
Kwani wamejiumba wenyewe?hujafa hujaumbika halafu unanuka mdomo mpaka huku tumesikia harufu ptuuuuuu nenda kaswaki ndio maneno yananuka hivi.....vitu vingine usiwaze kwa sauti
 
Back
Top Bottom