Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,070
Mila za Waarabu wengi zinakuwa based kwenye mafundisho ya Kiisla
Having this in mind dini inasema watoto watakapo timiza umri wa miaka 10 watenganishwe vyumba.
I stand to be corrected.
Karucee mi nafikiri kuwatenganisha vyumba watoto wa kiume na wakike ni utaratibu unao takiwa kufatwa na walezi wote hasa watoto wakifikia umri kama huo! Hii inasaidia sana kuepukana na haya yote!
Mimi nimemuuliza huyu mtoto ana lala na nani? maana nilitegemea kwa usalama wa huyo binti ni bora alale chumba kimoja na maid!
Last edited by a moderator: