Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,784
- 11,801
Bakora sio suluhisho ni utumwa
Siku moja uje nyumbani umpe hilo somo nadhani kabla haujamaliza utakuwa umeishachezea viboko......
Bakora sio suluhisho ni utumwa
Hahahaaa ma mkwe kiboko asije akanichapa tu....nafungasha
Acha kumsumbua dada yetu. Wakati jibu unalo
wewe nijibu tu mbona mengine umesema ??
hakuna atakaye kushangaa hata yule bibie mwenye itikadi kali hakuolewa akiwa sealed
teh teh teh just #inquisitive inaitwa ha ha ha ili uombe au kuwa ame prove failure?majibu unayoHili lilitimia ??
natamani uwe cousin wangu unikumbatie ,sina madhara mimiSiku moja uje nyumbani umpe hilo somo nadhani kabla haujamaliza utakuwa umeishachezea viboko......
natamani uwe cousin wangu unikumbatie ,sina madhara mimi
Haikuhusu kama lilitimia au lah!
alidanganywa ila hakukusudiaaiseee mkuu una uzowefu nao hawa ndio maana kajibu hivi
Sasa itajulikana vipi kama ushauri wako unafanya kazi?
I thought hio ni normal tradition haihusiani specific na maisha yangu tu so yaliojiri kwangu haimuhusu yoyote si wewe na si yoyote mwengine anayeshabikia!
Sawa mkuu.Basi ushauri wako hauna mashiko.
Ngoja tuangalie wanaotoa ushauri na faida zilizopatikana hazifichwi...hiyo inamashiko zaidi ya NADHARIA zako.
natamani uwe cousin wangu unikumbatie ,sina madhara mimi
Nikujibu ww kama nani? niko huru kusema nitakalo mm sio utakalo ww!
Weee imesaidia sana na inaendelea kusaidia.....lol
Mnaharibu maudhui ya uzi!Hakuna ulolisema hata moja lenye manufaa kwa muanzisha uzi zaidi ya kufanya comment yangu big deal!JF imekuwa ya kitoto sana siku hizi inasikitisha!