KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,758
- 39,493
mkuu umeniwahi kumwambia........Huu uandishi wako uwache huko huko Facebook ukija hapa nyoosha maelezo hapa siyo hostel wala campus.
mkuu umeniwahi kumwambia........Huu uandishi wako uwache huko huko Facebook ukija hapa nyoosha maelezo hapa siyo hostel wala campus.
You are a professional? as the term states being a professional means you have capacity to contribute to work, as a consultant or employee.
a) Try building a network of consultation through volunteering and learning a lot how to make your knowledge useful.
b) Go to house of worship and sit down and let God show you the wonders of life and the beauty of it...Let Him show you the reason why you were born and how you can contribute to life( Truth is, you still have not experienced life man)
c) Your missions failed yes, but at 42 you are now old enought to know in life failure is what makes success and life meaningful, you don't run or fear it! Have heart and pick yourself again.
d) Take a break, usiogope maisha ama chochote watu watakachosema....Get yourself off the life rat race for a while and meditate on everything that people think wrong about life. Love your children and listen to them as life becomes more and more revealed to them (Trust me you'll learn thing u didn't know).
e) As you think of life and try to relax. You may see the woman you want to spend your life with, who by the way you may not be seeing because you are so busy getting frustrated with life.
My friend you are not finished, the devil is a liar always! 42Yrs is not too old to start over, wake up man you have long way to go!! As long as you are still alive you worth millions dollars!!! Make a fresh start ! don't you have faith? HAVE FAITH MAN AND MAKE A FRESH START.This is a lesson to younger one. Tafadhali nashindwa kujieleza kwa kiswahili, this is real.
Iam a proffesional male who left work when i was 40, in order to pursue something kama watanzania wengi tunavyofanya. But now i just realize it is beyond my capacity.
I now think I made a mistake and have made things worse, I am not married but i have children with two different women who are married with other guys. I dont have house but i have a car, in general i feel like I am finished.
I feel like I am on an empty journey... I feel miserable and frightened.
THIS WORLD IS NOT FAIR!
?????????????
I know I can..be what I want to be....if I work hard at it..I will be where I wanna be......
Tatizo nini ati? Kutokuwa na nyumba? Kutokuwa umeoa? Kuwa na watoto wawili mama tofauti? Huna kazi? Au all of the above?
Halafu utakuwa mbeba box wewe.Anyways,life is simple my friend so don't complicate things caz age is just a number
If you are single,get married
If you don't have a job,get a job,u had it once u can have it again
Watoto wana kushinda,peleka kwa mama zao kwa muda au kwa bibi,kuanza upya sio ujinga.Rudisha mpira kwa kipa anza moja
If you don't have a house,get a plan and stay focused
We are our own worst enemy.
eti this world is not fair....ulijisahau na kamaisha flani kalikokupitia...wewe ndo hukuwa fair na dunia...
Lipa ulichokipanda duniani mkuu.. mbinguni kuhesabiwa tu sikuhizi.
Mkuu nina swali juu ya hii comment yako, unawafahamu wahanga walozalishwa na kuachwa na huyu jamaa?
Au wewe ni mmoja wao ila sasa jeraha limepona? Whatever the case, the guy is regretting of all what happened, lets give him moral support ili angalau ayaone maisha katika nuru mpya, asiwe kama Yuda aliyeishia kujitia kitanzi.
Jamani huku ni jamii forum,soma na angalia wenzio wanavyoandika, mnakosa kazi kwa upuuzi kama huu ..
Hongera kumbe unajua lol
Hongera kumbe unajua lol
NI USHAURI TU BESTITO WAWEZA KUUCHUKUA NA KUTENDEA KAZI KAMA UTAPENDA
Bestito yawezekana unapita katika magumu na unaona hakuna njia tena na unakata tamaa.
Umefika mahali na unasema siwezi kupata kazi tena, hii kazi siwezi tena, hawa watoto wamenishinda, siwezi kujenga, hii biashara imekufa, siwezi kuwa na biashara tena, n.k.
Ninataka nikuambie ya kwamba IPO NJIA. Inaweza isiwe rahisi na inaweza iwe ndefu. Hata kama panaonekanika kama hakuna njia, kwa Mungu kuna njia wakati wote. Na kama Yesu ni Bwana na Mwokozi wa maisha yako, Utakuwa na ubunifu wote ulimwenguni upo ndani yake, na kwa kuwa yupo ndani yako, ubunifu utaupata. Mungu ana uwezo wa kukupa fikra ambazo hujawahi kuwa nazo na kukuonyesha njia ya kufanya vitu ulivyofikiri hutakaa uweze kufanya.
Badala ya kukumbatia magumu, inatubidi kuelekeza mawazo yetu kwa Mungu na tujue ya kwamba yeye yupo kwa ajili yetu na nguvu yake ipo kazini kwa ajili yetu. Tufike mahali tuone ya kwamba iwepo njia au isiwepo Yesu ndiye njia yangu na nitaipata njia ya kutokea tuu.
Mungu ametuahidi katika Isaya 43:19 akisema tazama, nitatenda tendo jipya; sasa litachipuka, je! Hamtalijua sasa? NITAFANYA NJIA HATA JANGWANI, na MITO YA MAJI NYIKANI. Katika injili ya yohana 14:16 Bwana Yesu alisema Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima. Yeye ndiye njia, atakusaidia kuiona njia pale inapoonekana kama hakuna njia. Pia katika Wakorinto wa kwanza 10:13 tunafundishwa ya kwamba Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya mwanadamu; ila Mungu ni mwaaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili. Hivyo rafiki usikate tamaa wala kuvunjika moyo kuona miaka imesonga sana wala huoni ulichofanya Mwamini Mungu kuwa anaweza naye atafanya njia na vilevile jipe tumaini kuwa ipo siku utatoka hapo ulipo na vilevile fanya juhudi na bidii katika kila jambo ufanyalo MSHIRIKISHE MUNGU usipende kufanya pekee na kumuweka Mungu mbali fanya kila kitu kwa uwezo wa Mungu na USIWE MVIVU AU MLEGEVU au mwenye KUCHAGUA AINA YA KAZI au MWENYE KUCHAGUA kitu BALI fanya lolote la halali mbele yako kwa utukufu wa MUNGU.
CC: muuza ubuyu , Ntuzu Passion Lady