Oooh very sorry mdau. Nimejihisi kama ndio mimi vile imenitokea hivyo though im early 30's
Unajua hii life style tunayoenda nayo hali hiyo huweza kumtokea mtu yeyote yule. Tunapenda ishi maisha ambayo kihalisia siyo level yetu.
Mimi mwenyewe mmojawapo ndugu. Nimejikuta otomatikali ninakabiliwa na kodi kubwa ya nyumba inayonikabili kila baada ya miezi sita. Mkopo wa kijigari haujaishia na ndio naona mtego kabisaa hali kama hii itanifikia na mimi. bajeti ya mafuta inanifanya nishindwe kusave hata kiasi kidogo kwa kile ninachokipata. Miaka inayoyoma lakini nashindwa kujinasua kwenye hali hii.Ni ngumu mno ukaacha usafiri wako na ukakimbizana na daladala kisa bajeti ya mafuta(wenye nayo wanajua hali hii)
Siku nyingine nawaza. mfano nikisimamishwa kazi ghafla nitakua mgeni wa nani?
Mbaya zaidi nimemtia mdada mimba amaye sijapanga kabisaa kumuoa.
Mawazo tele asee!
sawa...lakini na ukweli aambiwe..[/QUOTE
Ndio maaan akaanza na sentensi ya kwanza kabisa kama funzo kwa wengine .Anajua ameliyoyafanya ni makosa hakuna haja ya kumtreat hivi mu kama huyu yupo down unazidi kumfanya awe down si sawa Vaislay!Hupaswi kumjaji hivyo haitasaidia kwasababu maji yamekwisha mwagika
Hii ni shida part twoo ila bora wewe umeamua kujiencourage mwenyewe songambele yana mwisho hayo mkuuOooh very sorry mdau. Nimejihisi kama ndio mimi vile imenitokea hivyo though im early 30's
Unajua hii life style tunayoenda nayo hali hiyo huweza kumtokea mtu yeyote yule. Tunapenda ishi maisha ambayo kihalisia siyo level yetu.
Mimi mwenyewe mmojawapo ndugu. Nimejikuta otomatikali ninakabiliwa na kodi kubwa ya nyumba inayonikabili kila baada ya miezi sita. Mkopo wa kijigari haujaishia na ndio naona mtego kabisaa hali kama hii itanifikia na mimi. bajeti ya mafuta inanifanya nishindwe kusave hata kiasi kidogo kwa kile ninachokipata. Miaka inayoyoma lakini nashindwa kujinasua kwenye hali hii.Ni ngumu mno ukaacha usafiri wako na ukakimbizana na daladala kisa bajeti ya mafuta(wenye nayo wanajua hali hii)
Siku nyingine nawaza. mfano nikisimamishwa kazi ghafla nitakua mgeni wa nani?
Mbaya zaidi nimemtia mdada mimba amaye sijapanga kabisaa kumuoa.
Mawazo tele asee!
Oooh very sorry mdau. Nimejihisi kama ndio mimi vile imenitokea hivyo though im early 30's
Unajua hii life style tunayoenda nayo hali hiyo huweza kumtokea mtu yeyote yule. Tunapenda ishi maisha ambayo kihalisia siyo level yetu.
Mimi mwenyewe mmojawapo ndugu. Nimejikuta otomatikali ninakabiliwa na kodi kubwa ya nyumba inayonikabili kila baada ya miezi sita. Mkopo wa kijigari haujaishia na ndio naona mtego kabisaa hali kama hii itanifikia na mimi. bajeti ya mafuta inanifanya nishindwe kusave hata kiasi kidogo kwa kile ninachokipata. Miaka inayoyoma lakini nashindwa kujinasua kwenye hali hii.Ni ngumu mno ukaacha usafiri wako na ukakimbizana na daladala kisa bajeti ya mafuta(wenye nayo wanajua hali hii)
Siku nyingine nawaza. mfano nikisimamishwa kazi ghafla nitakua mgeni wa nani?
Mbaya zaidi nimemtia mdada mimba amaye sijapanga kabisaa kumuoa.
Mawazo tele asee!
You reap what you sow....ukaacha kazi, ujaoa kwa sababu umenunua gari au kwa sababu hauna kaz? Uliacha kaz ili ununue gari au uzae?!!
Sasa hii picha ni wewe au?:confused3:Thank you all
View attachment 170100
Mie nilivyo muelewa jamaa anamainisha ameamlizika kabisa hawezi tena Jongoo hapandi mtungi ,amefika mahali anajitaji mtu wa kumshuhulikia ili asikose kote kote ,isipokuwa ujumbe wake ameutowa kimafumbo kama vile mafumbo yanayokuwepo kwenye kanga
Babylon be a human and put your self in his shoes wakati upo katika stress kama hizi mtu anakupa maneno ya karaha na udhalilishaji kama haya how will you feel.Acha kushabikia vitu pasipo kuangalia unamuumiza vipi mtu uliye mlenga yaani umeboa
Oooh very sorry mdau. Nimejihisi kama ndio mimi vile imenitokea hivyo though im early 30's
Unajua hii life style tunayoenda nayo hali hiyo huweza kumtokea mtu yeyote yule. Tunapenda ishi maisha ambayo kihalisia siyo level yetu.
Mimi mwenyewe mmojawapo ndugu. Nimejikuta otomatikali ninakabiliwa na kodi kubwa ya nyumba inayonikabili kila baada ya miezi sita. Mkopo wa kijigari haujaishia na ndio naona mtego kabisaa hali kama hii itanifikia na mimi. bajeti ya mafuta inanifanya nishindwe kusave hata kiasi kidogo kwa kile ninachokipata. Miaka inayoyoma lakini nashindwa kujinasua kwenye hali hii.Ni ngumu mno ukaacha usafiri wako na ukakimbizana na daladala kisa bajeti ya mafuta(wenye nayo wanajua hali hii)
Siku nyingine nawaza. mfano nikisimamishwa kazi ghafla nitakua mgeni wa nani?
Mbaya zaidi nimemtia mdada mimba amaye sijapanga kabisaa kumuoa.
Mawazo tele asee!
really your finished you went against GODs rule you now reap what you sow not bad just repent and tell JESUS to give a light fungua hata genge uza or uza gari kajenge nyumba ya mbao kijijini,tafuta kashamba panda chakula
Umeelewa kiini cha lalamiko lake?
A proffesional male ndio kazi gani? Ya kutia mimba?
Learn from Le Mutuz na Babu wa Loliondo, sio mwisho wa dunia
This is a lesson to younger one. Tafadhali nashindwa kujieleza kwa kiswahili, this is real.
Iam a proffesional male who left work when i was 40, in order to pursue something kama watanzania wengi tunavyofanya. But now i just realize it is beyond my capacity.
I now think I made a mistake and have made things worse, I am not married but i have children with two different women who are married with other guys. I dont have house but i have a car, in general i feel like I am finished.
I feel like I am on an empty journey... I feel miserable and frightened.
THIS WORLD IS NOT FAIR!
Tatizo nini ati? Kutokuwa na nyumba? Kutokuwa umeoa? Kuwa na watoto wawili mama tofauti? Huna kazi? Au all of the above?
Halafu utakuwa mbeba box wewe.Anyways,life is simple my friend so don't complicate things caz age is just a number
If you are single,get married
If you don't have a job,get a job,u had it once u can have it again
Watoto wana kushinda,peleka kwa mama zao kwa muda au kwa bibi,kuanza upya sio ujinga.Rudisha mpira kwa kipa anza moja
If you don't have a house,get a plan and stay focused
We are our own worst enemy.
Angekuwa ameoa asingekuwa finished hivi.
Ukiwa single unakurupuka sana
Alikuwa too picky,vigezo mianane vya mke bora ndio maana wote wawili kawaona hawafai kuwa wake