I am 42 yeas old and finished

I am 42 yeas old and finished

yaani ndo maana nasemaga mwanamke na shida zake zote bado ni muhimu sana kuwa naye.hawa viumbe wanasaidia sana kwenye mawazo na wanajua kukupa moyo.dont give up,start afresh its never too late.
 
The world is not fair and it wont change. Deal with it. But, your situation is still too vague. You left work inorder to do what?chase a woman?start business?
 
pole badili aina ya gari kama unatumia zinazokula mafuta sana
pia waweza kubadili eneo unaloishi au aina ya nyumba uliyopanga kama unaishi maeneo ambayo nyumba za kupanga ni bei kubwa jaribu maeneo ya pembezoni mwa mji ambako ni cheap kabla hujafika hatua kama ya mwenzio anaelia hapo juu uanze kusave mapemaaaa

kweli ni cheap ila bajeti ya usafiri huongezeka mara dufu miss neddy ..........

najuuta kulifahamu jiji , kuna watu wanaishi Dar es Salaam na kuna wengine wanaishi Daslaam aiseeh.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nakaa jet lumo kiwalani, nyumba ninayoishi ina vyumba vitatu vya kulala vikubwa, sitting na dinning room, self contained, gate lenye parking ya kutosha nalipa sh 170,000 mwezi, rafiki yangu anaishi sinza kwenye kikorido na kijichoo na kijisitting room analipa sh 180,000 kwa nyumba hii hii ninayoishi, sinza ingekuwa si chini ya laki saba, sasa hapo kwa choices zako utamlaumu nani.

aiseeeeh!!!!!! mkuu hii kodi yangu ikiisha nitakutafuta , hii nyumba ninayoishi ni ya vyumba viwili , chumba kimoja kikiwa ni master bedroom , jiko , choo na bafu lakini nalipa hela mara mbili ya hiyo tena maeneo yenyewe siyo kama hayo ya sinza...... though nikiri maeneo haya ninayoishi kuna madhari nzuri sana.
 
Dont be dismayed, there is hope ahead. Badala ya kukaa na kusikitika kwa yaliyotokea embu anza kurekebisha hizo challenge moja baada ya nyingine. Kwa maelezo yako na kwa maisha ya watanzania wengi wengi you are in a better position.

1. Wangapi hawana nyumba na wana furahia maisha?!
2. Tafuta mke oa na uanze maisha kama baba wa familia
3. Acha kujisikitikia mwenyewe
4. Furaha ya maisha hailetwi na wingi wa vitu ulivyo navyo.
5. Kama ni ulikuwa na dini hapo kabla embu rudi kwa waumini wenzio na uanze ibada
6. Huwezi kuwa ''finished'' kwa sababu ulizozitoa hapo juu.
7. Usiangalie wengine wanaishi vipi, ishi maisha yako kadiri ulivyojaaliwa na Mwenyezi Mungu
8. Acha tamaa ya mali ila tafuta mali kwa njia za halali
9. Hudumia watoto wako na wakutambue kama baba yao
10. Hakuna short cut katika maisha
11. Thamini utu wako zaidi kuliko mali na utajiri
12. Usifikirie kujiua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom