beutygirl
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 534
- 379
hahahahha. nafurahi na commnt za humu.Bora umempiga chini binti wa watu, ungempa shida tu bure.
hahahahha. nafurahi na commnt za humu.Bora umempiga chini binti wa watu, ungempa shida tu bure.
hahahahahMh! Hii Kali!! Kama ulikuwa na wazo la kuoa futa kabisa, maana utaishia kufungasha vilago kila mwanamke. Na bora huyo alitii na kwenda dukani kukuletea hiyo voucher
hahahaha.Gubu ni hilo ulilo nalo weweeee. In short definition ya gubu ni wewe
hahahahhahahahahahahaha ccchhhaCheka tena nimekupa bonus
Mbona sijaona jinohahahahhahahahahahahaha ccchhha



Dogo em kua...halaf hujiamini ww....wimbo tu unajistukia daaah....acha kujistukia...na uswahil wa kuhis ulkua unapewa vijembe...Mkuu sipatani na mafumbo ya nyimbo. Mwanamke akinifikishia ujumbe kwa nyimbo namtolea nje tuu
Hehehehe kwani sisi ndio papa zao kwann tuwalipie bills na kuwapa hela?Huo wimbo unaimbwa kwa wanaume wanaopenda wanawake zao wawafanyie kazi zao kama vile hao wanawake ni mama zao na wanaume ni watoto.
Hivyo, huyo mpenzi wako kashaona una tabia hiyo ya kumtumatuma, ndiyo maana aliufurahia sana huo wimbo.
Tena akakuimbia ulipomtuma. Huyo hakufai, kama unataka wa kutuma tuma tafuta Mnyalugusu mwingine.
Hujalazimishwa. Unaweza kuwapotezea vile vile.Hehehehe kwani sisi ndio papa zao kwann tuwalipie bills na kuwapa hela?
Wao pia watupotezee hawajalazimishwa kumfanyia mwanaume kazi za ndaniHujalazimishwa. Unaweza kuwapotezea vile vile.
Ukiwapotezea watafikaje ndani kwako?Wao pia watupotezee hawajalazimishwa kumfanyia mwanaume kazi za ndani
Jenga hojaUkiwapotezea watafikaje ndani kwako?
Hoja ndiyo hiyo.Jenga hoja
Hapana mkuu dalili ya mvua ni mawingu. Kwanini asinifanyie kazi zangu mimi wakati hela natoa nyingi? Si bora niweke house girl tena atachukua ujira mdogo