Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
ingekuwa unafikiria beyond hivyo kwa issue za maendeleo ungekuwa mbali ila kwa kuwa nyimbo ndio unatake serious haya. ukikua utaacha penye wawili hapakosi vikwazo.
Neiza a childish nor kidsh here great. Women are there to help men not to singSeriously bro, that's kinda childish from you. Now see the irony?
Gubu ni nini?Una gubu ka ndugu wa mume pyeee
Unaweza ukawa mwanaume ila usiwe na bahati ya kuwa baba maishaniKuna tofauti kubwa ya mwanaume na mvulana. Mleta uzi atakua mvulana mana hawezi fanya hayo aliyofanya. Wanaume tupo wachache sana kwa style hii.
Sio kila tatizo linatatuliwa na pesa mengine ni maneno yenye hekima na busara ukikua utajua hilo akili kumkichwaKuna shida saana. Sasa ya nini nikae na mwanamke akati anifanyii vitu nataka. Mbona hela nampa nyingi
Hahahaa wee jamaa majibu yako bana dah nmecheka sana leoUnaweza ukawa mwanaume ila usiwe na bahati ya kuwa baba maishani
Hapana mkuu dalili ya mvua ni mawingu. Kwanini asinifanyie kazi zangu mimi wakati hela natoa nyingi? Si bora niweke house girl tena atachukua ujira mdogoHahahaa duh kuna watu mna maamuzi magumu. ila kwa kuwa hujajua wimbo unaimbwa nini ni kwamba msanii (J. Lo) anamuimbia mwanaume kuwa anamfanyia kazi kama kupika na kufua sasa anataka hali ibadilike (ikibidi kila mtu afanye mambo yake) ndo anamwambia kuwa hatafanya tena mambo hayo sabab yee sio mama ake (mama wa mwanaume)
lakini for ur case ungemuuliza mwanamke wako ana maana gan kukuimbia (japo inawezekana alikuwa anajiimbia sabab anaupenda) huo wimbo.. umefanya too harsh.
Ifute mkuu inanitia kichefuchefu. Tumwombe mood aiondoe hapa. Hivi kwanini wanawake wanajifunza kwa kutoka kwa wanawake walioshindwa dunianiNi hii nyimbo inaleta tafrani
Ain't Your Mama"
I ain't gon' be cooking all day, I ain't your mama
I ain't gon' do your laundry, I ain't your mama
I ain't your mama, boy, I ain't your mama
When you're gon' get your act together?
I ain't your mama
No ooooh, I ain't your mama
No ooooh, I ain't your mama, no
Wake up, and rise and shine, ah yeah yeah yeah
Let's get to work on time, ah yeah yeah yeah
No more playing video games, ah yeah yeah yeah
Things are about to change, 'round here, 'round here
We used to be crazy in love
Can we go back to how it was?
When did you get too comfortable?
Cause I'm too good for that, I'm too good for that
Just remember that, hey
I ain't gon' be cooking all day, I ain't your mama
I ain't gon' do your laundry, I ain't your mama
I ain't your mama, boy, I ain't your mama
When you're gon' get your act together?
I ain't your mama
No ooooh, I ain't your mama
No ooooh, I ain't your mama, no
Lucky to have these curves, ah yeah yeah yeah
Stop getting on my nerves, ah yeah yeah yeah
You still tryna ride this train?, ah yeah yeah yeah
Some things have got change, 'round here, 'round here
We used to be crazy in love
Can we go back to how it was?
When did you get too comfortable?
Cause I'm too good for that, I'm too good for that
Just remember that, hey
I ain't gon' be cooking all day, I ain't your mama (I ain't your mama, no)
I ain't gon' do your laundry, I ain't your mama (I ain't your mama, hey)
I ain't your mama, boy, I ain't your mama
When you're gon' get your act together?
I ain't your mama (I ain't your mama)
No ooooh, I ain't your mama
No ooooh, I ain't your mama, no
I ain't your mama, no
We used to be crazy in love
Can we go back to how it was?
When did you get too comfortable?
Cause I'm too good for that, I'm too good for that
Just remember that, hey
I ain't gon' be cooking all day, I ain't your mama (I ain't your mama)
I ain't gon' do your laundry, I ain't your mama (I ain't your mama)
I ain't your mama, boy (No, no, no)
I ain't your mama, boy (No, no)
When you're gon' get your act together? (Cause I ain't your mama, hey)
I ain't gon' be cooking all day, I ain't your mama
I ain't gon' do your laundry, I ain't your mama (I ain't your mama, hey)
I ain't your mama, boy (Na, na, na)
I ain't your mama (Na, na, na)
When you're gon' get your act together? (No, I ain't your mama, no)
No ooooh, I ain't your mama
No ooooh, I ain't your mama
No ooooh, I ain't your mama
No ooooh, I ain't your mama, no

Nataka nikusajili wewe. Ndio wewe kwenye profile picture?Bora umempiga chini binti wa watu, ungempa shida tu bure.
Alikushikia bastola umpe kwa nguvu si kihere here chako kisaa Wa mpa visenti ukamfanya msichana Wa watu mfanya kazi wakoI ain't her dad nimpe hela