I ain't your mama

I ain't your mama

Alikushikia bastola umpe kwa nguvu si kihere here chako kisaa Wa mpa visenti ukamfanya msichana Wa watu mfanya kazi wako
Ukajigeuza muhindi unatuma mpaka basi
Ni kutuma tu manake hamna namna. Mwanamke ni msaidizi wa mwanaume
 
Umefanya jambo zuri sana, awezi kukuimbia mafumbo ya ajabu ajabu wakati unamueka mjini .Akasimulie uko kwao.
Kwa hiyo hata Jennifa Lopez aliyeutungs na kuuimba wimbo huo alihitaji talaka?
Maana sielewi hivi mtu kuimba wimbo ni kosa?
 
Maana ya msaidizi unajua! Unatakiwa ufanye kazi we ukichoka yy akusaidie sio umeamka umeweka miguu juu ya meza unatuma njoo unipe rimoti njoo unipe kahawa mara embu angalia ichi yeye kwani msichana Wa kazi??? Alafu unaonekana bado unampend sema ubinafsi ulio nao na kuesabu visenti vyako ivyo watu wanahonga nyumba awalii ili kama ww ata laki sizani kama imefika
 
ingekuwa unafikiria beyond hivyo kwa issue za maendeleovungekuwa mbali ilavkwa kuwa nyimbo ndio unatake serious haya. ukikua utaacha penye wawili hapakosi vikwazo.
Wewe ndiyo umeachwa nini povu la nini??
 
Mh! Hii Kali!! Kama ulikuwa na wazo la kuoa futa kabisa, maana utaishia kufungasha vilago kila mwanamke. Na bora huyo alitii na kwenda dukani kukuletea hiyo voucher
 
Habari gani wakuu? Natumai wote mu wazima. I ain't yo mama ndio kichwa cha uzi huu hapa.
Ni hivi nimekua na mahisiano ya kimapenzi na mdada mmoja hivi kwa zaidi ya mwaka na mambo yamekua yakienda fresh hamna mbaya lakini hivi majuzi niliamua kukatisha mapenzi hayo kwa sababu ya wimbo wa i ain't yo mama, kisa ni hivi
Week tatu zilizopita tuliamua kutoka out na huyo aliyekua mupenzi wanguu tulienda disco ama club. Watu walicheza sana koz dj alikua vizuri sana kila nyimbo aliyotupia watu kelele weweeeeeeeeeee, ila sisi hatukua tunacheza bali tulikua tunakunywa mvinyo tuu na kuangalia watu wanavoamsha kwenye dansi floo koz sisi sio wachezaji wazuri wa muziki ila tunapenda muziki. Cha kushangaza ni pale dj alipocheza wimbo wa i ain't yo mama huu wimbo nauona unachezwa mara kwa mara kwenye chanel ya Trace urban ila sijui aliyeimba ni nani. Wimbo huu ulipoanza tuu mpenzi wangu aliruka kwenye kiti moja kwa moja akicheza kuelekea kwenye dansi floo huku akiuimba wote sijui ni lini ameukariri. Niliwaza kidogo kwanini kaenda kucheza huu wimbo na sio mwingine? Nikasema isiwe kesi may be ni mvinyo imeingia kichwani, alicheza akifurahia sana huku akinyoosha vidole na wimbo ukawa unafika ukingoja akarejea kwenye kiti huku akiendelea kuimba wimbo huo huo.
Tuliondoka na kurejea nyumba ila nikiwa na kitu kichwani kama nawaza ila sijui nawaza nini. Kesho yake tuliagana akarudi kwake na mimi nikaendela na mambo yangu.
Sasa weekend hii alikuja hom akapika tukala mambo yakawa yanaenda fresh. Nikakumbuka natakiwa kumtumia ndugu yangu flani hivi document alikua anaziihitaji tangu asubuhi. Chaa ajabu nilivomwambia mpenzi wangu huyo akaniletee vocha ya halotei aliguna then akawa anaondokaa kwenda dukani huku akiimba I AIN'T YO MAMA. Hasira zilinijaa sana nikaamua kumtolea kila kilicho chake na kumwekea mlangoni nikafunga mlango nikatokea uwani kwa ufipi penzi lilishia hapo japo nilipata taarifa alilia sana. Ataenda kuhadithia wenzake.
Hahahahahaha haaaa mkuu inaelekea unakaroho kadogo kwl ww
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom