Huyu zero kabisa!

Huyu zero kabisa!

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Mvuvi 1:Ulipotupa ndoano,ulimnasa samaki mkubwa,ukamnasua,ukamrudisha majini.Ukampata wa saizi ya kati naye ukamrudisha majini,lakini umemnasa huyu mdogo ndo umeridhika umemchukua,why? Mvuvi 2:We chizi nini,samaki mkubwa wa nini kwangu wakati sina frying pan(kikaangio) kikubwa!
 
Hahah hahah kweli chizi huyu samaki mkubwa si angemkata vipande akampika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom