Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.
Mnamo mwaka huu mwezi wa January, nimekutana na mdada mmoja ambaye tulimaliza naye chuo, na kwa bahati nzuri nilikuwa nasoma naye course moja na pia tulikuwa group moja kwenye discussion. Hivyo na mfahamu kwa kiasi alikuwa ni binti mwenye msimamo kwenye mahusiano.
Kipindi hicho sikuweza kumtongoza kwasababu nilikuwa nipo kwenye stress kubwa wakati nasoma university.
Ila ilikuwa namkubali kubali kiasi, ila wakati tukiwa mwaka wa tatu akakutana na jamaa alikuwa ni graduate na anakazi. Jamaa akafanikiwa kumuweka kwenye himaya yake. Kwangu haikuniumiza sana kwa kwasababu sikuwahi kumtongoza akanitoe nje.
Siku zikaenda jamaa akaenda kujitambulisha kwa binti, ikapangwa mpaka siku ya harusi na vitu kwa hivyo.
Jamaa akawa anahairisha harusi mara kwa mara ila kafanikiwa kuzaa naye mtoto, ila baadaye wakaingia kwenye misuguano wakavunja uhusiano na sababu mwanamke anasema jamaa alikuwa na mwanamke mwingine na mpaka sasa eti jamaa anaishi naye na amezaa naye mtoto, anyway mwanamke akamchukua yule mtoto aliyezaa na jamaa akampeleka kwa wazazi wake.
Mpaka nakutanane naye ameachana na jamaa na kwa takribani miaka mitatu. Anyway baada ya kunieleza hayo kwa uchungu nikaanza naye mahusiano baadaye nikaona kwasababu ni mwanamke ambaye namfahamu kitabia tokea nikiwa chuo acha nifumbe macho nifanye haraku za kuweka ndani kwa heshima.
Anyway baada ya kuanza naye mahusiano akapata ujauzito nikaona ili nisimkweze na aone nipo sereous naye ngoja nikamtambulishe, nikampeleka home kwa utambulisho.
Nikawa nimebakiza kibarua ya kwenda kwao ambaye mpaka sasa sijaenda bado.
Sasa leo akanipigia simu akaniambia amepata msiba, nikamuuliza nani akasema baba mkwe wake wa zamani na waenda na dada yake. Anyway sikutaka kumcrash.
Ila nimeona nipate muda wakutafsiri hiyo picture na kujiuliza maswali mengi.
1. Binafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyuma
2. Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambulishwa katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?
Binafsi nikaona huyu anacheza na akili yangu kwasababu kama yupo sereous akesahau kule pa zamani na kusonga mbele na njia mpya...
Mimi ni mtu ni kazi yangu na biashara zangu, sasa naona kwasababu hana kazi labda anaona apate mahali ambapo atapunguza makali fulani ya stress za mahusiono na maisha may be.
Binafsi naona niwe naye karibu amzee yule kiumbe then niangalie ustarabu mwingine ila asilani sintoweza kumoa tena...m
Unakaribishwa kwa ushauri
MREJESHO
Baadaya ya huyu mwanamke kurudi kwenye msiba,nimekaa nikitafakari sana kitendo hicho.
Alikaa siku siku tatu mpaka akamaliza matanga,sijajua alivyoonana na x wake wamezungumza kitu gani...()
Kiukweli,alipo rudi kutoka kwenye msiba nilimkwepa kama week tatu hivi kwasababu bado stress zilikuwa juu ila kwa simu tunawasiliana naye kama kawaida.
Baada ya week tatu nilimuomba tuonane,baada ya kukutana tulionger japo mongezi yetu hayakujikita kwenye mambo ya msiba.
Lengo kukutana naye nikutaka niwe naye karibu sana kwasababu kwanza nimjamzito lakini pili nipata nafasi ya kumsoma na kujua nguvu ya mahusiono yake ya nyuma.
Nilimuambia aje tukae naye kwasababu ni mjamzito ili niweke mikakati ya kwenda kwao kujitambulisha ila lengo ni kutaka kujua yale mahusiano x.wake yanapo nguvu kiasi gani..
Alikubali kuja tukaanza kuishi kama kawaida ,hiyo mimba ina miezi minne kipindi hicho.
Anyway,mimi ni mtu ambaye nipo busy sana kwasababu ya maswala yangu ya biashara na kazi za hapa na pale..hivyo nikitoka saa mbili asibuhi narudi saa nne usiku au tano..nikirudi ni kula na kulala nakula mzigo kimtindo.
Baadaya week tatu leo nikasema ngoja nishinde nyumbani na huyu mwanamke ..embwana saa tatu asubuhu nageuke hivi nakutana na miss call kama 8 na namba hazijasaviwa kabisa zimepigwa kwenye simu ya mwanamke huyu.
Nikamgeukia nikamgusa bega nikamuuliza baby huyu ni nani kakupigia simu nyingi hivi..
Mimi:Nani kakupigia misscall nyingi kiasi hichi?
Mwanmke:simjui
Mimi:huyu anaonekana ni mtu anayekufahamu kwasababu kakupigia mara nyingi sana..
Mwanamke:simjui
Mimi:basi mpigie alafu weka loud tusikie anasema nini?
Mwanake: aah!aah!sawa!
Simu inapigwa na mwanake
Mwanamke:Hello
Jamaa:mbona hupokei simu yangu?
Mwanamke;unasema
Jamaa:mbona haupokei simu yangu unakwanza nini?
Mwanamke:kimya
Jamaa:upo wap sasa?
Mwanamke:nipo kwangu
Nb..hajasema nipo kwa mume wangu hivyo acha kunisumbua......??????
Jamaa:naomba tuonane kesho akataja mkoa
Mwanamke:kimya
Baada ya hayo mazungumzo nikamuuliza mwanamke huyo nina anaongea na wewe na anaoneka anamamlaka na wewe.
Mwanamke:ni yule x wangu ananisumbua.
Baada ya hapo nilishuka kitandani kama upepo nikaenda kutafuta konyagi mahali ilipo.
Anyway,nilitafakari na kusema bora nimejirizisha juu ya hili ila kwasababu nimjamzito nitakaa naye,alafu siku anaenda kujifungua ndio bye,bye mazima
Naona mwanamke wa design hii atakuja kunisababishia pressure na kisukari mapema.
Na inaonekana siku tukikwaruzana naye kwenye mahusiano nirahisi sana kukimbilia misri
Nimekaa naye ila ameniona nimebadilika sana,na naonekana ni mtu ambaye hana tumaini tena kwenye hayo mahusino baada ya hapo.. akaendakujifungua na baada ya hapo nikamuambia safari yetu imeshindikana hivyo tuwe wazazi tu.na bahati nzuri kanizalia binti amefanana sana na mimi na anamiezi kumi sasa.
Sasa hivi natafuta fresh girl niweke ndani mazima,japo kama nimekata tamaa na hawa viumbe.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtu ambaye nilikuwa siamini katika kumuoa single mother ila baadaye nikajikuta nimekutana na single mother nikaona nitengue msimamo wangu ila kwa hili msimamo wangu narudi kuiheshimu.
Mnamo mwaka huu mwezi wa January, nimekutana na mdada mmoja ambaye tulimaliza naye chuo, na kwa bahati nzuri nilikuwa nasoma naye course moja na pia tulikuwa group moja kwenye discussion. Hivyo na mfahamu kwa kiasi alikuwa ni binti mwenye msimamo kwenye mahusiano.
Kipindi hicho sikuweza kumtongoza kwasababu nilikuwa nipo kwenye stress kubwa wakati nasoma university.
Ila ilikuwa namkubali kubali kiasi, ila wakati tukiwa mwaka wa tatu akakutana na jamaa alikuwa ni graduate na anakazi. Jamaa akafanikiwa kumuweka kwenye himaya yake. Kwangu haikuniumiza sana kwa kwasababu sikuwahi kumtongoza akanitoe nje.
Siku zikaenda jamaa akaenda kujitambulisha kwa binti, ikapangwa mpaka siku ya harusi na vitu kwa hivyo.
Jamaa akawa anahairisha harusi mara kwa mara ila kafanikiwa kuzaa naye mtoto, ila baadaye wakaingia kwenye misuguano wakavunja uhusiano na sababu mwanamke anasema jamaa alikuwa na mwanamke mwingine na mpaka sasa eti jamaa anaishi naye na amezaa naye mtoto, anyway mwanamke akamchukua yule mtoto aliyezaa na jamaa akampeleka kwa wazazi wake.
Mpaka nakutanane naye ameachana na jamaa na kwa takribani miaka mitatu. Anyway baada ya kunieleza hayo kwa uchungu nikaanza naye mahusiano baadaye nikaona kwasababu ni mwanamke ambaye namfahamu kitabia tokea nikiwa chuo acha nifumbe macho nifanye haraku za kuweka ndani kwa heshima.
Anyway baada ya kuanza naye mahusiano akapata ujauzito nikaona ili nisimkweze na aone nipo sereous naye ngoja nikamtambulishe, nikampeleka home kwa utambulisho.
Nikawa nimebakiza kibarua ya kwenda kwao ambaye mpaka sasa sijaenda bado.
Sasa leo akanipigia simu akaniambia amepata msiba, nikamuuliza nani akasema baba mkwe wake wa zamani na waenda na dada yake. Anyway sikutaka kumcrash.
Ila nimeona nipate muda wakutafsiri hiyo picture na kujiuliza maswali mengi.
1. Binafsi najiuliza kama ametoka misri na ameamua kwenda Caana kwanini anarudi nyuma
2. Na kama wameachana na hawakufunga ndoa na ameshatambulishwa katika familia nyingine anaenda kule kama nani...?na kwasababu gani hasa...?
Binafsi nikaona huyu anacheza na akili yangu kwasababu kama yupo sereous akesahau kule pa zamani na kusonga mbele na njia mpya...
Mimi ni mtu ni kazi yangu na biashara zangu, sasa naona kwasababu hana kazi labda anaona apate mahali ambapo atapunguza makali fulani ya stress za mahusiono na maisha may be.
Binafsi naona niwe naye karibu amzee yule kiumbe then niangalie ustarabu mwingine ila asilani sintoweza kumoa tena...m
Unakaribishwa kwa ushauri
MREJESHO
Baadaya ya huyu mwanamke kurudi kwenye msiba,nimekaa nikitafakari sana kitendo hicho.
Alikaa siku siku tatu mpaka akamaliza matanga,sijajua alivyoonana na x wake wamezungumza kitu gani...()
Kiukweli,alipo rudi kutoka kwenye msiba nilimkwepa kama week tatu hivi kwasababu bado stress zilikuwa juu ila kwa simu tunawasiliana naye kama kawaida.
Baada ya week tatu nilimuomba tuonane,baada ya kukutana tulionger japo mongezi yetu hayakujikita kwenye mambo ya msiba.
Lengo kukutana naye nikutaka niwe naye karibu sana kwasababu kwanza nimjamzito lakini pili nipata nafasi ya kumsoma na kujua nguvu ya mahusiono yake ya nyuma.
Nilimuambia aje tukae naye kwasababu ni mjamzito ili niweke mikakati ya kwenda kwao kujitambulisha ila lengo ni kutaka kujua yale mahusiano x.wake yanapo nguvu kiasi gani..
Alikubali kuja tukaanza kuishi kama kawaida ,hiyo mimba ina miezi minne kipindi hicho.
Anyway,mimi ni mtu ambaye nipo busy sana kwasababu ya maswala yangu ya biashara na kazi za hapa na pale..hivyo nikitoka saa mbili asibuhi narudi saa nne usiku au tano..nikirudi ni kula na kulala nakula mzigo kimtindo.
Baadaya week tatu leo nikasema ngoja nishinde nyumbani na huyu mwanamke ..embwana saa tatu asubuhu nageuke hivi nakutana na miss call kama 8 na namba hazijasaviwa kabisa zimepigwa kwenye simu ya mwanamke huyu.
Nikamgeukia nikamgusa bega nikamuuliza baby huyu ni nani kakupigia simu nyingi hivi..
Mimi:Nani kakupigia misscall nyingi kiasi hichi?
Mwanmke:simjui
Mimi:huyu anaonekana ni mtu anayekufahamu kwasababu kakupigia mara nyingi sana..
Mwanamke:simjui
Mimi:basi mpigie alafu weka loud tusikie anasema nini?
Mwanake: aah!aah!sawa!
Simu inapigwa na mwanake
Mwanamke:Hello
Jamaa:mbona hupokei simu yangu?
Mwanamke;unasema
Jamaa:mbona haupokei simu yangu unakwanza nini?
Mwanamke:kimya
Jamaa:upo wap sasa?
Mwanamke:nipo kwangu
Nb..hajasema nipo kwa mume wangu hivyo acha kunisumbua......??????
Jamaa:naomba tuonane kesho akataja mkoa
Mwanamke:kimya
Baada ya hayo mazungumzo nikamuuliza mwanamke huyo nina anaongea na wewe na anaoneka anamamlaka na wewe.
Mwanamke:ni yule x wangu ananisumbua.
Baada ya hapo nilishuka kitandani kama upepo nikaenda kutafuta konyagi mahali ilipo.
Anyway,nilitafakari na kusema bora nimejirizisha juu ya hili ila kwasababu nimjamzito nitakaa naye,alafu siku anaenda kujifungua ndio bye,bye mazima
Naona mwanamke wa design hii atakuja kunisababishia pressure na kisukari mapema.
Na inaonekana siku tukikwaruzana naye kwenye mahusiano nirahisi sana kukimbilia misri
Nimekaa naye ila ameniona nimebadilika sana,na naonekana ni mtu ambaye hana tumaini tena kwenye hayo mahusino baada ya hapo.. akaendakujifungua na baada ya hapo nikamuambia safari yetu imeshindikana hivyo tuwe wazazi tu.na bahati nzuri kanizalia binti amefanana sana na mimi na anamiezi kumi sasa.
Sasa hivi natafuta fresh girl niweke ndani mazima,japo kama nimekata tamaa na hawa viumbe.