Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Huyu sasa ndio ameolewa, wengine mnasindikiza

Wee private jet upate wapi bwana...ungekuwa mzuri saa hizi wenye hela would have been wining and dinning u. Sasa unachapa marimba na sie wakina mzabzab waendesha bodaboda usiku huu wote
🤣🤣🤣🤣
 
Ukishashakubali kunioa maana yake ni kwamba nimekuridhisha, hupaswi kunipa mapenzi nusu eti kwa sababu sifanani na Klyn. Nina haki ya kupewa treatment anazopewa mwanamke mwingine yeyote hata kama nikiwa Asha Boko as long as una uwezo wa kufanya hivyo
😂😂😂😂😂😂😂 huu usawa utaupata peponi tu! Duniani ni vita tu mpaka tuumalize mwendo. Yani unalazimisha kabisa na shepu yako ya gunia😅

Utashangazwa sana na mchepuko wa mumeo🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu usawa utaupata peponi tu! Duniani ni vita tu mpaka tuumalize mwendo. Yani unalazimisha kabisa na shepu yako ya gunia[emoji28]

Utashangazwa sana na mchepuko wa mumeo[emoji1787]
Acha mambo yako[emoji1787][emoji1787] shepu ya gunia unafanya nayo nini ndani, si ndio umeipenda hiyo?
 
Wee private jet upate wapi bwana...ungekuwa mzuri saa hizi wenye hela would have been wining and dinning u. Sasa unachapa marimba na sie wakina mzabzab waendesha bodaboda usiku huu wote
Hujajibu swalii.... naona umepanik tu
Nimeuliza rangi km zile za wanyaki haziwezi panda private jet?
Mke wa sugu si unamuona?? Ile sura na mali anazomiliki sasa chini ya sugu vinaendana?? Saa ingine ni bahati tu ya mtu
 
Hujajibu swalii.... naona umepanik tu
Nimeuliza rangi km zile za wanyaki haziwezi panda private jet?
Mke wa sugu si unamuona?? Ile sura na mali anazomiliki sasa chini ya sugu vinaendana?? Saa ingine ni bahati tu ya mtu
😅😅😅😅😅😅😅 utu na utulivu umembeba
 
Hujajibu swalii.... naona umepanik tu
Nimeuliza rangi km zile za wanyaki haziwezi panda private jet?
Mke wa sugu si unamuona?? Ile sura na mali anazomiliki sasa chini ya sugu vinaendana?? Saa ingine ni bahati tu ya mtu

Mke wa sugu kaolewa mara mbili na zote na wadau.

Maana yake ana cha ziada maana wengine hata mara 1 hawaipati
 
Ukishashakubali kunioa maana yake ni kwamba nimekuridhisha, hupaswi kunipa mapenzi nusu eti kwa sababu sifanani na Klyn. Nina haki ya kupewa treatment anazopewa mwanamke mwingine yeyote hata kama nikiwa Asha Boko as long as una uwezo wa kufanya hivyo
Hiyo ndio ilikuwa point yangu...
Kwamba ukishakuwa mke then lazima mwanaume akupe status ya mke ki huduma
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28] sijaipenda wala sema tu appetite yako ndio kiboko! Hamna menu inakatiza free lazma ubugie tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi kesho ukirudi toka safari uje umeandika talaka kabisa fisi maji wewe
 
Back
Top Bottom