Huyu Rais kageuka lini jamani!?

Huyu Rais kageuka lini jamani!?

Watanzania ni watu wa ajabu sana. Sasa huyu hapa kaandika sentesi mbili ati naye ni Great Tinker na members wanalaumu tu bila hata kuhoji ni kwa nini mwandikaji au huyo asiyepewa hizo pesa hapewi kwa kigezo gani? Ni umburula tu unaoendelea hapa JF hivi sasa. Kila mahali ni lazima ufuate sheria kama hukupewa jiulize na fuata taratibu. JF inatumika na wapuuzi wachache. Then mnalialia kama kasuku ati hakuna democracy, what type of democracy do you want? Democracy ya kulikumbatia Jambazi Sugu? au serikali kutoa mikopo bila kufuata sheria? What a stupid idea. Wengi wenu mnasukumwa na personal dissatisfaction ya kushindwa maisha na kulikumbatia jambazi Sugu mlilouziwa kwenye gunia na Mbowe.
We need good governance system in our lovely country, equal participation in democracy, transparency, freedom of expression, rule of the laws and equal treatments of all people in the country,without favoring a certain peoples.we are tired with blah blah blahhhhhhhh
 
We need good governance system in our lovely country, equal participation in democracy, transparency, freedom of expression, rule of the laws and equal treatments of all people in the country,without favoring a certain peoples.we are tired with blah blah blahhhhhhhh

So, who had been favoured?

 
Pole sana kama ulitupa kura yako kwa hiri rimjamaa!
Tangu lini CCM waliwahi kusema ukweli? Hivi wewe ulimwamini alichokuwa akisema?
Lakini kwa vile Mitanzania mingi haijifunzi tokana na makosa mwaka 2020 yatakuwa ni yaleyale!
Wataiba kura tu mkuu
 
Rais Magufuli hakugeuka ila hali ya nchi alipokabidhiwa alikuta hakuna pesa kabisa .
Ninaimani na Rais Magufuli pindi mambo ya kiuchumi yakiwa mazuri tutegemee neema
we are not guaranteed when mambo yatakua mazuri. labda ni miaka 20 ijayo?
 
So you pretend you don't know eeeh. We need equal treatments to all people in our country.
If you cannot answer a simple question like that you do not deserve to be in this Forum. Do not assume what you know is a common knowledge.
 
MTOTO WAKE ALIPATA MKOPO KWA VIGEZO GANI?
Mkuu huyu?
1479585895290.jpg
 
If you cannot answer a simple question like that you do not deserve to be in this Forum. Do not assume what you know is a common knowledge.
I deserve to be here and comment anything I want without any restrictions and as long as i follow all rules of JF. It seems ua dictator you don't respect other people's argument. You need to change, it's a free world,choice. And if you don't have common knowledge you need to learn and understand clearly before commenting ua blah blah in JF.
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana. Sasa huyu hapa kaandika sentesi mbili ati naye ni Great Tinker na members wanalaumu tu bila hata kuhoji ni kwa nini mwandikaji au huyo asiyepewa hizo pesa hapewi kwa kigezo gani? Ni umburula tu unaoendelea hapa JF hivi sasa. Kila mahali ni lazima ufuate sheria kama hukupewa jiulize na fuata taratibu. JF inatumika na wapuuzi wachache. Then mnalialia kama kasuku ati hakuna democracy, what type of democracy do you want? Democracy ya kulikumbatia Jambazi Sugu? au serikali kutoa mikopo bila kufuata sheria? What a stupid idea. Wengi wenu mnasukumwa na personal dissatisfaction ya kushindwa maisha na kulikumbatia jambazi Sugu mlilouziwa kwenye gunia na Mbowe.
Ila we mwepesi!
 
Unafiki upi? That does not make me mnafiki? Yeye Jambazi sugu pamoja na mambo mengine yote alijiuzulu kwa sababu ya kutokuweza kujitetea na uvundo wake, sasa wewe unataka tumsafishe. I mean you lancanshire ndio uliona mwezi ulipofika huko Lancanshire ulikochagua jina na kufikiri unaweza kutisha wengine ooops kutoa maoni yenye busara kumbe ni 0% kwa sababu ya kuchagua jina, I feel sorry for you. Mimi sio mnafiki lakini nafahamu fika uliuziwa Mbuzi kwenye gunia na hukushituka kwa sababu wewe ni moja wao katika chama cha kikabila. Huo ndio unafiki wenyewe, umekuwa mnafiki wa kupitiliza. Utapiga genge hapa lakini hutaambulia kitu kwa sababu tulio wengi ni werevu kuliko nyinyi punguani ambao mnafikiri ubinafsi wenu ndio nyenzo ya kujitajirisha. Imekula kwenu.
Mwepesi sana we dada.
 
I deserve to be here and comment anything I want without any restrictions and as long as i follow all rules of JF. It seems ua dictator you don't respect other people's argument. You need to change, it's a free world,choice. And if you don't have common knowledge you need to learn and understand clearly before commenting ua blah blah in JF.

What a s t u p i d response, you insinuated that there is somebody who had been favoured and you do not want to say the circumstances of that favouritism, yet you want to argue based on that one secretive idea. Does that ring some bells in your mind? The comments you have made are irrelevant to the subject and you are full of distortion, no wonder you start to claim dictatorial attitude and the likes. You do not know what you are arguing about.
 
What a s t u p i d response, you insinuated that there is somebody who had been favoured and you do not want to say the circumstances of that favouritism, yet you want to argue based on that one secretive idea. Does that ring some bells in your mind? The comments you have made are irrelevant to the subject and you are full of distortion, no wonder you start to claim dictatorial attitude and the likes. You do not know what you are arguing about.
bado mwepesi.
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana. Sasa huyu hapa kaandika sentesi mbili ati naye ni Great Tinker na members wanalaumu tu bila hata kuhoji ni kwa nini mwandikaji au huyo asiyepewa hizo pesa hapewi kwa kigezo gani? Ni umburula tu unaoendelea hapa JF hivi sasa. Kila mahali ni lazima ufuate sheria kama hukupewa jiulize na fuata taratibu. JF inatumika na wapuuzi wachache. Then mnalialia kama kasuku ati hakuna democracy, what type of democracy do you want? Democracy ya kulikumbatia Jambazi Sugu? au serikali kutoa mikopo bila kufuata sheria? What a stupid idea. Wengi wenu mnasukumwa na personal dissatisfaction ya kushindwa maisha na kulikumbatia jambazi Sugu mlilouziwa kwenye gunia na Mbowe.

Including you! Huko shuleni ulisomea ujinga? What is "Great tinker"?
Hatutaki ushabiki wa kijinga wa kutoka Lumumba. Mada inayojadiliwa hapa ni taarifa from BOT with FACTS&FIGURES, sasa cha ajabu nini hapo? Kama Makusanyo hakuna hiyo hela ya kuwapa Wanachuo vitatoka wapi? Kinachofanyika ni kuchakachua idadi ya Wanufaika wa mikopo kwa visingizio vya wanafunzi hewa, sijui wengine hawastahili na longolongo nyingi tu! Hivi kama mwanafunzi yuko 2nd&3rd year na alikuwa analipiwa miaka yote, why today unasema hastahili? Huu ndiyo umburula! Ulitakiwa uwaulize HESLB kwanini wasitumbuliwe kwa uzembe kuliko kuanza kutetea ujinga! Wacha hiyo wewe!
 
Really? What a lie! Hizi shule zina tabu sana, yaani hata lugha tu ni tabu then ndio hawa wanasema ooooops wanachema ndio wataitoa hii nchi kwenye umasikini?
Mkuu mbona hueleweki unachopigania? Hapa JF huwa tunashindana kwa hoja.mimi nimetoa hoja yangu nipinge kwa hoja.
Naona unaleta maneno mingi point sifuri.
 
Back
Top Bottom