Huyu Rais kageuka lini jamani!?

Huyu Rais kageuka lini jamani!?

A
c35de95b68ba3f2d69de146f74c7294b.jpg
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana. Sasa huyu hapa kaandika sentesi mbili ati naye ni Great Tinker na members wanalaumu tu bila hata kuhoji ni kwa nini mwandikaji au huyo asiyepewa hizo pesa hapewi kwa kigezo gani? Ni umburula tu unaoendelea hapa JF hivi sasa. Kila mahali ni lazima ufuate sheria kama hukupewa jiulize na fuata taratibu. JF inatumika na wapuuzi wachache. Then mnalialia kama kasuku ati hakuna democracy, what type of democracy do you want? Democracy ya kulikumbatia Jambazi Sugu? au serikali kutoa mikopo bila kufuata sheria? What a stupid idea. Wengi wenu mnasukumwa na personal dissatisfaction ya kushindwa maisha na kulikumbatia jambazi Sugu mlilouziwa kwenye gunia na Mbowe.
Unataka kutukanwa au unatafutia mtu BAN?
 
Back
Top Bottom