Huyu Rais kageuka lini jamani!?

Huyu Rais kageuka lini jamani!?

Alikuwa anawatania watani zake wa dsm
Nilimskiliza sana wakati wa kampeni huyu bwana alieleza kwa hisia sana eti "sitaki kuona wanafunzi wakisumbuliwa kupata hela,tena hela yenyewe ya mkopo!!?" sitakubali kwenye serikali yangu!. Kwani wale wanaolia pale heslb sio watanzania!?
 
Nilimskiliza sana wakati wa kampeni huyu bwana alieleza kwa hisia sana eti "sitaki kuona wanafunzi wakisumbuliwa kupata hela,tena hela yenyewe ya mkopo!!?" sitakubali kwenye serikali yangu!. Kwani wale wanaolia pale heslb sio watanzania!?
Wakati wa kampeni alikuwa anaomba "kula"/(kura) sasa kama mlimpa kula na sasa ameshiba ni lazima awatolee "upepo" ili mzibe pua zenu.
Waswahili wana msemo wao, Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.

Wakati wa kampeni alikuwa anapiga push ups, je baada ya kupata
"kula" umeshawahi kumwona akidondoka na kupiga push ups?

Ukimwamwini mwanasiasa, imekula kwako.
Ukipiga kelele sana, anakuletea kamanda 0 na gari ya maji washawasha.
 
Magufuli amebakisha miaka minne tu! Tuwe wavumilivu!...Tokea hapo hapatakuwa na kitu kinaitwa CCM Tanzania.
 
Nilimskiliza sana wakati wa kampeni huyu bwana alieleza kwa hisia sana eti "sitaki kuona wanafunzi wakisumbuliwa kupata hela,tena hela yenyewe ya mkopo!!?" sitakubali kwenye serikali yangu!. Kwani wale wanaolia pale heslb sio watanzania!?
 
Hivi Hii Nchi Bado Kuna Watu Wanaishi Tu, Tulishasema Ni Nchi Ya Viwanda Na Siyo Nyie Kuishi Shenzi Kabisa.
 
Huyo jamaa anachozungumza na anachotenda
havinaga uhusiano Mkuu. Kwa fix ndiyo mwenyewe kumbuka kauli yake ya "Nitaiheshimu na kuilinda katiba ya Tanzania eeh! Mungu nisaidie" halafu akaamua kumuasi Mungu aliyemuomba msaada kisha anarudi tena "Mniombee Mungu" anadhani Mungu hudhihakiwa kirahisi rahisi.

Nilimskiliza sana wakati wa kampeni huyu bwana alieleza kwa hisia sana eti "sitaki kuona wanafunzi wakisumbuliwa kupata hela,tena hela yenyewe ya mkopo!!?" sitakubali kwenye serikali yangu!. Kwani wale wanaolia pale heslb sio watanzania!?
 
Yupo sahihi mkuu waliambiwa Elimu mpaka chuo kikuu wakachagua mpaka kidato cha nne ndiyo anachofanyia kazi acha waisome namba.
 
Lakini mzee Makamba alituambia Mjomba aliwabatiza kwa maji ila huyu yeye atawabatiza kwa moto.

Acha tunyooshwe tulizoea lelemama. Shida huleta maarifa & we learn through mistakes.
 
Nilimskiliza sana wakati wa kampeni huyu bwana alieleza kwa hisia sana eti "sitaki kuona wanafunzi wakisumbuliwa kupata hela,tena hela yenyewe ya mkopo!!?" sitakubali kwenye serikali yangu!. Kwani wale wanaolia pale heslb sio watanzania!?
sina buku 7haaa
 
Rais Magufuli hakugeuka ila hali ya nchi alipokabidhiwa alikuta hakuna pesa kabisa .
Ninaimani na Rais Magufuli pindi mambo ya kiuchumi yakiwa mazuri tutegemee neema
Stay away from this.....kuna vipaumbele tumeona kavifanya muda ambao sio!!!
 
Tatizo mtu ukiingia pale kwenye nyeupe,kila kitu unafanyiwa,kwahiyo hata mtu akikwambia wenzio maisha magumu tunakufa kwa njaa .
Habari kama hiyo haingii hakilini na utashangaa tu kwamba maisha magumu ndio nini.
 
Nilimskiliza sana wakati wa kampeni huyu bwana alieleza kwa hisia sana eti "sitaki kuona wanafunzi wakisumbuliwa kupata hela,tena hela yenyewe ya mkopo!!?" sitakubali kwenye serikali yangu!. Kwani wale wanaolia pale heslb sio watanzania!?

Pole sana kama ulitupa kura yako kwa hiri rimjamaa!
Tangu lini CCM waliwahi kusema ukweli? Hivi wewe ulimwamini alichokuwa akisema?
Lakini kwa vile Mitanzania mingi haijifunzi tokana na makosa mwaka 2020 yatakuwa ni yaleyale!
 
Nilimskiliza sana wakati wa kampeni huyu bwana alieleza kwa hisia sana eti "sitaki kuona wanafunzi wakisumbuliwa kupata hela,tena hela yenyewe ya mkopo!!?" sitakubali kwenye serikali yangu!. Kwani wale wanaolia pale heslb sio watanzania!?

Watanzania ni watu wa ajabu sana. Sasa huyu hapa kaandika sentesi mbili ati naye ni Great Tinker na members wanalaumu tu bila hata kuhoji ni kwa nini mwandikaji au huyo asiyepewa hizo pesa hapewi kwa kigezo gani? Ni umburula tu unaoendelea hapa JF hivi sasa. Kila mahali ni lazima ufuate sheria kama hukupewa jiulize na fuata taratibu. JF inatumika na wapuuzi wachache. Then mnalialia kama kasuku ati hakuna democracy, what type of democracy do you want? Democracy ya kulikumbatia Jambazi Sugu? au serikali kutoa mikopo bila kufuata sheria? What a stupid idea. Wengi wenu mnasukumwa na personal dissatisfaction ya kushindwa maisha na kulikumbatia jambazi Sugu mlilouziwa kwenye gunia na Mbowe.
 
Naona ameanza kurudi nyuma kwenye teuzi, aliwahi nena mtu akiharibu huku anahamishwa huku,sasa wa kuwateua wameisha ameanza na yeye kuwabasilishia majukumu
Mkuuu una 7m,maana hii nayo itaitwa uchochezi.tusio weza kuimba sifa kwa kila jambo sijui tutaishije
 
Back
Top Bottom