Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 6,458
- 8,796
Yule hajageuka hata kidogo. Mlimfamyia usaliti tu wa kumkwamisha na sasa dhambi inawarudia.Wewe umemuona huyu tu tuanze na yule wa MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA vipi?
Yule hajageuka hata kidogo. Mlimfamyia usaliti tu wa kumkwamisha na sasa dhambi inawarudia.Wewe umemuona huyu tu tuanze na yule wa MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA vipi?
Nilimskiliza sana wakati wa kampeni huyu bwana alieleza kwa hisia sana eti "sitaki kuona wanafunzi wakisumbuliwa kupata hela,tena hela yenyewe ya mkopo!!?" sitakubali kwenye serikali yangu!. Kwani wale wanaolia pale heslb sio watanzania!?[/QUOTE
Kufanya Kampeni ni jambo lingine na Kuanza kutawala nalo ni jambo tofauti kabisa.
Mtu akiwa nje ya utawala/Urais huona akishika YEYE ANAWEZA kurekebisha kila kitu. Hiyo ni hulka ya binadamu wote.
Mfano mzuri ni wakati timu za mpira zinacheza uwanjani. WATAZAMAJI huona makosa mengi sana na hata kulaumu wachezaji. Na kusema
"Ule mpira angepiga hivi goli lingeingia"
Nini ninasema hapa?
Si makosa yake Magufuli bali aliyokuwa anayatarajia kuyafanya na kuyapata SI YALE ALIYO YAKUTA Ikulu.
Ikulu ni gemu ingine kabisa na kampeni ni gemu tofauti kabisa. Anaingia anauliza
"Pesa iko wapi kwa ajili ya mradi ABCD?" Anaambiwa
"Mh.Rais pesa haitoshi"Hapo Ndo mwanzo wa kuahirisha mipango mingine na kuipa kipaumbele mengine. Ni STRESS!
Tumpe muda AUZOEE utawala na KUPANGA mambo maana ukweli ni kuwa si UNAFIKI bali utawala si mchezo ni kazi kubwa.
Hata kama mimi na wewe tungepewa leo pengine baada ya miezi kadhaa ungesema "NIMECHOKA" !!
Acha kujitoa fahama bwana hicho kitu kipoUnaweza Weka Ushaidi Wa Habari Hii?Picha,Video au Link?
Tuliposema mtungi ni mpya ila mvinyo ni ule ule hamkutuelewa. Tukaenda mbali zaidi mkaambiwa chague elimu bure mkadanganya na wasanii wa bongo fleva wema,ant ezekiele,rey,chid benz,diamomd et al mkaichagua fisiem.Nilimskiliza sana wakati wa kampeni huyu bwana alieleza kwa hisia sana eti "sitaki kuona wanafunzi wakisumbuliwa kupata hela,tena hela yenyewe ya mkopo!!?" sitakubali kwenye serikali yangu!. Kwani wale wanaolia pale heslb sio watanzania!?
Hili nalo unataka ushahidi? Mbona yako mengi tu aliyaahidi.sasa hivi kawaida jeuri huyo.ngoja tusubiri 2020 kama atapanda jukwaani kutuomba kura zetu kama alivyokuwa anapiga pushupsUnaweza Weka Ushaidi Wa Habari Hii?Picha,Video au Link?
Sasa wewe unabisha, au uonekane tu umecoment?Unaweza Weka Ushaidi Wa Habari Hii?Picha,Video au Link?
Msitufanye mafala.kama alikabidhiwa nchi haina pesa hao wanafunzi walikuwa wanapata mikopo pesa zinatoka wapi? Ajira zilikuwa kedekede na watumishi walipandishwa madaraja na kulipwa stahili zao kipindi hicho.Rais Magufuli hakugeuka ila hali ya nchi alipokabidhiwa alikuta hakuna pesa kabisa .
Ninaimani na Rais Magufuli pindi mambo ya kiuchumi yakiwa mazuri tutegemee neema
Unamwita lowassa jambazi sugu wakati ndio alihakikisha CCM inaingia madarakani 2005.?Watanzania ni watu wa ajabu sana. Sasa huyu hapa kaandika sentesi mbili ati naye ni Great Tinker na members wanalaumu tu bila hata kuhoji ni kwa nini mwandikaji au huyo asiyepewa hizo pesa hapewi kwa kigezo gani? Ni umburula tu unaoendelea hapa JF hivi sasa. Kila mahali ni lazima ufuate sheria kama hukupewa jiulize na fuata taratibu. JF inatumika na wapuuzi wachache. Then mnalialia kama kasuku ati hakuna democracy, what type of democracy do you want? Democracy ya kulikumbatia Jambazi Sugu? au serikali kutoa mikopo bila kufuata sheria? What a stupid idea. Wengi wenu mnasukumwa na personal dissatisfaction ya kushindwa maisha na kulikumbatia jambazi Sugu mlilouziwa kwenye gunia na Mbowe.
Unamwita lowassa jambazi sugu wakati ndio alihakikisha CCM inaingia madarakani 2005.?
Huu unafiki huu ndio utakaowamaliza nyie nawaambia.
Really? What a lie! Hizi shule zina tabu sana, yaani hata lugha tu ni tabu then ndio hawa wanasema ooooops wanachema ndio wataitoa hii nchi kwenye umasikini?Jana nilikuwa naangalia wananchi gani huko mtwara sijuwi wamevunjiwa nyumba zao wanalazimishwa kuondoka kwa nguvu.
Wanalia huku wamevaa t-shirts na kofia za CCM. Nilicheka mpaka mwanangu akaamka usingizini.
Je kama pesa haipo, nn cha kufanya? kwani pesa azishushwi kutoka mbinguni.mkuu usishangae sana kwani hautambui neno mtu MNAFKI huwa linamaanisha nini
Basi ndo huyo baba kubwa linasadifu kwake
Nilimskiliza sana wakati wa kampeni huyu bwana alieleza kwa hisia sana eti "sitaki kuona wanafunzi wakisumbuliwa kupata hela,tena hela yenyewe ya mkopo!!?" sitakubali kwenye serikali yangu!. Kwani wale wanaolia pale heslb sio watanzania!?
Sasa hivi hajaribiwi na ukisema ukweli unafungwa bila hata tatizo.Wakati wa kampeni alikuwa anaomba "kula"/(kura) sasa kama mlimpa kula na sasa ameshiba ni lazima awatolee "upepo" ili mzibe pua zenu.
Waswahili wana msemo wao, Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.
Wakati wa kampeni alikuwa anapiga push ups, je baada ya kupata "kula" umeshawahi kumwona akidondoka na kupiga push ups?
Ukimwamwini mwanasiasa, imekula kwako.
Ukipiga kelele sana, anakuletea kamanda 0 na gari ya maji washawasha.
sio kweli wengi hawajapata na wanakidhi vigezo vyoteWenye sifa wote mbona wamepata mkuu
wajinga kama nyinyi ndo mnaompa kichwaRais Magufuli hakugeuka ila hali ya nchi alipokabidhiwa alikuta hakuna pesa kabisa .
Ninaimani na Rais Magufuli pindi mambo ya kiuchumi yakiwa mazuri tutegemee neema
Jamaa amenikera sana angekuwa karibu yangu nahisi tungekuwa tunaongea mengine sasa hiviooooooooooooooooo lione unapaswa kutwangwa makofi