Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 908
Hatari tupu
Hatari tupu
Halafu kitu kipo kama chotara flani vileeeeeee?!!!!!!!!
Ni mfaransa huyu mama si unajua Ufaransa huwa haiongopi kwenye hili eneo?!! Kisiasa hii rangi ya huyu mama ilileta shida kidogo kwa kuwa jamaa ameishi sana nje na wife naye ni mzungu basi ikaonekana kama vile nchi inataka kuuzwa.
Bobby nakusahihisha kidogo,huyu ni chotara na baba yake ni mzungu mfaransa ila mama yake ni mcameroon na alizaliwa na kukulia ufaransa mpaka alivyomove na jamaa Ivory Coast.Ni mfaransa huyu mama si unajua Ufaransa huwa haiongopi kwenye hili eneo?!! Kisiasa hii rangi ya huyu mama ilileta shida kidogo kwa kuwa jamaa ameishi sana nje na wife naye ni mzungu basi ikaonekana kama vile nchi inataka kuuzwa.
you are right...........kama Salma anavyomwamrisha M.kwere afanye madudu!Huyo mama ndiye atakayeongoza nchi.Unafikiri aki demand kitu,jamaa ataweza tia neno?
Bobby nakusahihisha kidogo,huyu ni chotara na baba yake ni mzungu mfaransa ila mama yake ni mcameroon na alizaliwa na kukulia ufaransa mpaka alivyomove na jamaa Ivory Coast.
Kwa kuwa Baba yake ni Mfaransa, maana huyu Mama alikuwa Mfaransa kabla ya kupata jiko, na kwa maana hiyo Rais wa Ivory Coast ni Shemeji wa Wafarnsa; na kuwa kuwa Rais wa Ivory Coast ni Shemeji ya Wafaransa, basi katika vita ya kumng'oa Gabgo walikuwa wanamsaidia Shemeji yao ambaye akikalia kiti hawapinga kwa lolote.
kumbe wafaransa walikuwa wanamtafutia dada yao makazi - ikulu!