Njaa imewapa akili,usomeshe watu namba wakupe Upendo Nani kasema.Vicoba vyote hali mbaya na wanaume wammewakimbia
Ukisomesha watu namba nao watakusomesha pia
Njaa imewapa akili,usomeshe watu namba wakupe Upendo Nani kasema.Vicoba vyote hali mbaya na wanaume wammewakimbia
Wanalima mchicha mabondeni mboga haziuziki Hadi zinakomaa kuharibikia mashambani sababu watu wamepunguza milo,ula mihogo tu Tena jioni Hadi kesho ili wasife njaa,Sasa Hawa wakulima wa mbogamboga kuwaita eti walikuwa ni wapiga dili Ni kumkufuru Mungu kwa kweliVicoba vyote hali mbaya na wanaume wammewakimbia
Sasa hivu wamefija hadi 20Hizi namba mbona kila siku mna mpya?...
Kaangalie mikutano ya Lisu wanawake na wasichana unamulika na tochi Ni vivulana ndio vinajaaWanawake wamekuwa na mwamko wa kusikiliza kampeni kukiko miaka yoyote ile. Jr hii ni dalili mbaya kwa ccm?
Wanawake wanojaa ccm ni wale wa kusombwa na kijaza vivhwa tu. Wale wa buku 10Kaangalie mikutano ya Lisu wanawake na wasichana unamulika na tochi Ni vivulana ndio vinajaa
Huoni watu wazima akina mama Wala wasichana .Chukua video yeyote ya kampeni ya Lisu tizama
CCM mwaka huu watapata majimbo yale waliyopitishwa na tume ya uchaguzi bila kupigiwa kura kinyume cha Katiba...
Kwa mfano Kyela wamevuna mno mpunga mwaka huu , lakini hakuna wateja wa kununua , Hata wale wapemba waliokuwa wanakuja kununua wakati wa mavuno kwa malori na malori mchele wa Kyela , sasa hivi hawaji tena baada ya kufirisikaWanalima mchicha mabondeni mboga haziuziki Hadi zinakomaa kuharibikia mashambani sababu watu wamepunguza milo,ula mihogo tu Tena jioni Hadi kesho ili wasife njaa,Sasa Hawa wakulima wa mbogamboga kuwaita eti walikuwa ni wapiga dili Ni kumkufuru Mungu kwa kweli
😆😆😆 mwaka huu mtalia na kusaga menoKilolo Justine Nyamoga atapita asubui na mapema. Huwajui watu wa kule wewe.
Jiulize faida aliyopata Polepole na Bashiru kwa kutumia pesa nyingi kununua watu kama akina Katambi, Mashinji,Nasari, Lipumba, na kuwahonga vyeo huku CCM ikiwa na Maelfu ya watu wenye uwezo mkubwa sana waliofungwa kwa hofu na vitisho tuu na kunyimwa fursa ya kuonyesha uwezo wao eti wataonekana wamefanya kampeni. Jiulize Wagombea ubunge tu walikua 43000+ ndani ya CCM .kujifariji.com
Viva Magu
2015 utailinganisha na 2015. Unaota au vipi?2015,mlisaidiwa na ukawa. Safari hii hata wabunge 10 mkipata, shukuruni Mungu. Mmetepeta Sana, hamna Sera za kutuambia mmebaki kuomba huruma za wananchi tuwachague. Mtakula jeuri yenu.
Wewe endelea kujidanganya hivyo hivyo ukidhani wanao hudhuria mikutano ya Lissu watawapa kura ccm na wanao hudhuria mikutano ya ccm hawatampa kura Lissu. Jidanganye .Ila lipo la kujifunza angalia nyuso za wanaohudhuria mikutano ya ccm nyuso zao hazina furaha ukilinganisha na wale wanao hudhuria mikutano ya lissu nyuso zao zina furaha na jamani, kuanzia Iringa hadi katavi ,kigoma2015,mlisaidiwa na ukawa. Safari hii hata wabunge 10 mkipata, shukuruni Mungu. Mmetepeta Sana, hamna Sera za kutuambia mmebaki kuomba huruma za wananchi tuwachague. Mtakula jeuri yenu.
Ccm mwama huu mnalo, tunawapiga spana tu mpaka mchakae. Jiwe kazomewa kule Kagera2015,mlisaidiwa na ukawa. Safari hii hata wabunge 10 mkipata, shukuruni Mungu. Mmetepeta Sana, hamna Sera za kutuambia mmebaki kuomba huruma za wananchi tuwachague. Mtakula jeuri yenu.
Nakwambia hivi, jiwe hafai kuongoza hata familia yake.Hahaaaaa kajengeni ofisi kwanza na mtuambie pesa za ruzuku mnapeleka wapi.
Viwanja mtajenga sasa ndio iwe misused of taxpayers money kama mnavyoimba humu kiwanja cha chato?
Magu is the Man....oct 28 save the date.
Jiulize faida aliyopata Polepole na Bashiru kwa kutumia pesa nyingi kununua watu kama akina Katambi, Mashinji,Nasari, Lipumba, na kuwahonga vyeo huku CCM ikiwa na Maelfu ya watu wenye uwezo mkubwa sana waliofungwa kwa hofu na vitisho tuu na kunyimwa fursa ya kuonyesha uwezo wao eti wataonekana wamefanya kampeni....