Uchaguzi 2020 Huyu ni mgombea ubunge wa jimbo la Kilolo kwa tiketi ya Chadema Jully Mpugulla

CCM mwaka huu watapata majimbo yale waliyopitishwa na tume ya uchaguzi bila kupigiwa kura kinyume cha Katiba .
Mengine yote watapoteza...

CCM na mauno mbele kwa mbele. Kampeni zimekuwa fiesta. Hakuna maadili kabisa. Aibu.
 
umeandika mengi lakini the simple maelezo ni nani mtakatifu?

DJ anayetetewa kwa kujipendelea ruzuku?
TL aliyekuwa anawatetea mabeberu kinafki?
CHADEMA mwasisi ambaye anakiapo cha kutoisaliti serikali kwa ajira yake ya zamani?

The only reason vijana wanabaki na kutetea ccm sio utakatifu ila ujinga wa wapinzani kanjanja....

mentioning Katambi na wengine wengi walikuwa kazi maalum hawakununuliwa...

Hata sasa wanafki wengi ndani ya upinzani kiasi cha ukweli kubaki heri CCM

Viva Magu
Jiulize faida aliyopata Polepole na Bashiru kwa kutumia pesa nyingi kununua watu kama akina Katambi, Mashinji,Nasari, Lipumba, na kuwahonga vyeo huku CCM ikiwa na Maelfu ya watu wenye uwezo mkubwa sana waliofungwa kwa hofu na vitisho tuu na kunyimwa fursa ya kuonyesha uwezo wao eti wataonekana wamefanya kampeni...
 
Ukichunguza uliyoyasema yako chadema pia.
Viti maalum awamu iliyopita waliteuliwa mikoa ambayo hawaishi...Atleast Mama ni kwake kwa asili... hatujuwi ushiriki wake huko. Ila ililalamikiwa chadema viti maalum mikoani walitupwa wachaga wasio ishi huko....

tunajadili 6 na 9 kutegemea wapi umesimama

Viva Magu
Jiulize faida aliyopata Polepole na Bashiru kwa kutumia pesa nyingi kununua watu kama akina Katambi, Mashinji,Nasari, Lipumba, na kuwahonga vyeo huku CCM ikiwa na Maelfu ya watu wenye uwezo mkubwa sana waliofungwa kwa hofu na vitisho tuu na kunyimwa fursa ya kuonyesha uwezo wao eti wataonekana wamefanya kampeni...
 
2015,mlisaidiwa na ukawa. Safari hii hata wabunge 10 mkipata, shukuruni Mungu. Mmetepeta Sana, hamna Sera za kutuambia mmebaki kuomba huruma za wananchi tuwachague. Mtakula jeuri yenu.
119963305_720564192006545_879249151297148844_n.jpg

Hakuna Mungu kama wewe Kyala ..wimbo bora wa gospel kwa miongo mingi
 
Back
Top Bottom