blackberry m
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 563
- 415
- Thread starter
- #81
Wacha tukutane nao tu kwani nao ni viumbeUmekamilika, ila sisi wanadamu ndiyo ambao tunakutana na vitu vipya kila siku
Wacha tukutane nao tu kwani nao ni viumbeUmekamilika, ila sisi wanadamu ndiyo ambao tunakutana na vitu vipya kila siku
Huyu atakuwa nyoka alizaliwa njiti yaani kabla hajatimiza siku za kuzaliwa![]()
Mdudu huyu wa ajabu kama mnavyomwona, ana vichwa viwili ambacho kimoja kipo mbele na kingine kipo nyuma (mkiani). Kimeonekana nchini Argentina katika mji wa Sante Fe.
tuliite nani ?Hili dudu linaogofya bhana![]()
![]()
![]()
![]()
Na kwa nn tusubirie paka Argentina wampe jina,huko ni kupoteza muda,mm naona ni vzuri waki kihoji,kitaje jina lake mwenyewe,wapi kina toka,wapi kina enda na kwa dhumuni gani?...na muda wote kilikuwa wapi paka kina kuja kustaajabisha watu Sasa hivi....mkuu tusubirie agentina wampe jina huku kwetu sijamuona
ha haha mkuu naomba ukakihoji weweNa kwa nn tusubirie paka Argentina wampe jina,huko ni kupoteza muda,mm naona ni vzuri waki kihoji,kitaje jina lake mwenyewe,wapi kina toka,wapi kina enda na kwa dhumuni gani?...na muda wote kilikuwa wapi paka kina kuja kustaajabisha watu Sasa hivi....
JF raha sanaHuyu atakuwa nyoka alizaliwa njiti yaani kabla hajatimiza siku za kuzaliwa
Dudu tu ila kuna mdau aliliita snake xenziatuliite nani ?
Wapo kweli Tanzania hii?Kigoma huitwa nutsi
Kwenu sehemu gani?Kwetu hilo dudu linaitwa Inyongo ni stage ya ukuaji wa aina ya kipepeo
JF Raha sanaNa kwa nn tusubirie paka Argentina wampe jina,huko ni kupoteza muda,mm naona ni vzuri waki kihoji,kitaje jina lake mwenyewe,wapi kina toka,wapi kina enda na kwa dhumuni gani?...na muda wote kilikuwa wapi paka kina kuja kustaajabisha watu Sasa hivi....
Swadakta. Akakihoji yeye ili naye asilalamikeha haha mkuu naomba ukakihoji wewe
Hapo kwenye rangi umeenda mbali mkuu.Yaani nimeona comment zako toka huko page za nyuma. Unajifanya kujua sana wewe,unajifanya wewe ndio wewe hakuna mwngine kwan lazima umvamie mtu kwa maneno ya ajabu kama hivo,hata kama kaandika upupu we inakuhusu nn? Simu ya kwake,bundle la kwake yet unampangia cha kucomment we Kuki nn. Marufuku kujitia kiranja hapa,acha mtu aandike anachojisikia. Where we dare to talk openly with no restriction and nonsense like yours, mpuuzibna mpumbavu sana wewe,umeamkaje na stress unataka umshirikishe kila mtu stress zako. kukemea upupu utakemea wangapi???, kumbe we mwenyewe kilaza hata kujua hujui I bet usinge comment kabisa kuliko huo utumbo wa mavi uliouandika. Shika adabu na adabu ikushike,sio lazima uheshimu kila mtu,lakini ukiichunga akili yako usimletee kila mtu uchizi wako basi inatosha. Uncircumcised baboon wewe![]()
![]()
anaweza torokaSwadakta. Akakihoji yeye ili naye asilalamike
Ajikaze tu asitoroke kama ambavyo anawataka wenzake wamhoji huyo kiumbeanaweza toroka
haya tumpe mudaAjikaze tu asitoroke kama ambavyo anawataka wenzake wamhoji huyo kiumbe
Anakaribia kufanana na kifutu![]()
Mdudu huyu wa ajabu kama mnavyomwona, ana vichwa viwili ambacho kimoja kipo mbele na kingine kipo nyuma (mkiani). Kimeonekana nchini Argentina katika mji wa Sante Fe.