Huyu ni mdudu gani?

Huyu ni mdudu gani?

Aise nawe wajiita Great Thinker!? Nilienda kutafiti kwenye mtandao wakasema ni aina ya nyoka. Kama sio sahihi ungesema tu sahihi ni nini lakini sio kutumia lugha isiyo na ustaarabu. Hunijui sikujui tuheshimiane.
Majibu mujarabu
Huyo anatukumbusha kuwa hata humu WAMO
 
una ubaya na Rogie ?
mbina kuna wengine wamecoment bashite..wengine kiwavi..but huyu otoa yake kwa kusema ni nyoka umemjibu kwa ukali hivo??eti utumbo..
Huyo atakuwa ana matatizo naye
Maana hilo povu si la kawaida
 
Hivi mbona mnakuwa wagumu kuelewa? Nimesema tusubiri wataalam wa mambo hayo watupe jibu sio kuandika utumbo wa nguruwe hapa

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
Mkuu mbona unakuwa mkali hivyo?
Tuwasubiri kina nani? Kwani wewe huwezi ukajaribu kutoa jibu?
Waingereza wanasema 'to dare is to do' sasa jaribu na wewe
 
Back
Top Bottom