secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,069
- 42,918
Asante bwashee.Safi
Asante bwashee.Safi
Ni ndugu but petrol is like uncle child, for instance petro was born in 1906, but Thomas was born in1915Nasubiri hilo andiko ila jamaa ukichek picture zake utajua mtoto wa mjini
Ila Thomas itosi na Petro itosi ni ndugu wale au ?? Mfn hizi gari za marangu coach ni kwa Marialle yupii mleu ndege maake kwenu si hapo marangu kitemboni
ngoja ntaangalia vzr siku nikiliona hilo gari,Nimemaanisha ni ukoo wa moshii
Sitasema Moja kwa moja, lakini ni kama ulimn'gata mjomba bila kumpuliza.nikumbushe nilimsema nani?
P
what for?he was a good man!Pascal, nipo Lyamrakana nakusanya data kaka the man was cruel and brutal
Ni gari la dunia na kimeiMarangu coach sio moshi wale?
Alikufa kwa madawa usingiziniSindio alikuwa punga huyu au?
Huyu dogo jau sana 😂😅 weww nae wa nyumbni kumbe
Aise Sanya juu ni kwa babu na bibi yangu na nikienda kule wananiheshimu vibaya mno!Huyu dogo jau sana 😂
You know why the man was influential, even in his death bed but truly speaking Pascal Mayalla the man was ecilwhat for?he was a good man!
P
Kumbe kuna mkono wa kimei pale, kwa dunia si kama una enda kilema hiv ,karibu na kibo hotel kuna kichupa flani hivi kimesimama kilimani ?Ni gari la dunia na kimei
Moshi ipo marangu na rombo , mushi ipo kibosho uru na machamengoja ntaangalia vzr siku nikiliona hilo gari,
Sasa bruh Moshi na mushi tofauti yake nn 🤔
Kwenye the right to privacy public officials paid by taxpayers money wanaweza kuzungumzwa,Kibo ni private individual,his right to privacy must respected!Sitasema Moja kwa moja, lakini ni kama ulimn'gata mjomba bila kumpuliza.
Kwetu moshi hamna ni ya wavunjo (hao marangu wanavyojiita) Kule Mushi ndo ukoo wa kimangi mbona 😂 Ila Mushi kule hamuiskii maake ipo zaidi usseri na huku TarakeaMoshi ipo marangu na rombo , mushi ipo kibosho uru na machame
Mimi pia ni mushi😅
Nimeona umeelezea jamaa alikuwa anamvizia mercy ebu niambie mkuu, bint kida alikuwa aje kipindi Cha udada wake maake km saa hz wa moto tuu 😂Kwenye the right to privacy public officials paid by taxpayers money wanaweza kuzungumzwa,Kibo ni private individual,his right to privacy must respected!
P
Moshi ipo mkuu sana, mushi ipo na ni ukoo wenye nguvu mnoKwetu moshi hamna ni ya wavunjo (hao marangu wanavyojiita) Kule Mushi ndo ukoo wa kimangi mbona 😂 Ila Mushi kule hamuiskii maake ipo zaidi usseri na huku Tarakea
Hapo nimekuelewa.Kwenye the right to privacy public officials paid by taxpayers money wanaweza kuzungumzwa,Kibo ni private individual,his right to privacy must respected!
P
Mbona unataka kumjua sana jamaa twende kwake jangwani 😂Hapo nimekuelewa.
mushi kimbokaMoshi ipo marangu na rombo , mushi ipo kibosho uru na machame
Mimi pia ni mushi😅