Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 16,210
- 51,571
ulishawahi kuishi UK?Kwa nini mkuu
ulishawahi kuishi UK?Kwa nini mkuu
UK hapana mkuuulishawahi kuishi UK?
rombo mnazingua kinomaHahahaha 🤣 ukienda Dec usisite kutoa taarifa uje kula kidari cha mbuzi, supu, rombo sauce na mbege kwetu hapo mpakani tu
Labda UkongaUK hapana mkuu
Ukonga pia hapana bwashee 😅Labda Ukonga
siku ukivist UK tembelea WalesUK hapana mkuu
Kuhusu nn Mr RB?rombo mnazingua kinoma
Druid nawasoma na movie zao kibao nimezichekisiku ukivist UK tembelea Wales
Ngoja nione atajibuje hiisiku ukivist UK tembelea Wales
kuna kipindi niliona news Moja kutoka rombo kids waliandikishwa vidudu ni 6 kwa shule Moja nikatafakari sana ni ishu ya family plan au iko mambo ingine🤔Kuhusu nn Mr RB?
sasa hao ni wachaga wa UKDruid nawasoma na movie zao kibao nimezicheki
😂Ngoja nione atajibuje hii
Hahahahakuna kipindi niliona news Moja kutoka rombo kids waliandikishwa vidudu ni 6 kwa shule Moja nikatafakari sana ni ishu ya family plan au iko mambo ingine🤔
ShukraniHahahaha
Issue ya ulevi inachangia kwa asilimia fulani sio hundred percent km mnavyoaminishwa
Pia watoto wa kule wengi wanaenda Kenya siku hz wazazi wakiamini kujua English ndo akili,
Kingine wengine tupo nje ya mkoa km hv ko unakuta nikipata familia ntakaa nayo huku ukilinganisha na enzi sisi tunakua wazazi wetu walikuwa pale pale au hata km yupo nje ya mkoa basi mtaish na bibi au mama atakaa nyumbn kitu ambayo siku hz hamna
Kwa mm nilivyo ona inaweza kuwa sababu kubwa maake kule mm nimekulia huko na ninaenda hata twice a year
Mushi ya Kisarika?kuna jamaa yangu alikua anaitwa Dr.Sabas mushi kimboka kadanja last yr
alikua ananiambia wao ndio mushi kimboka yenye Dola hizo mushi zingne ni fake😂
Ndiyo mkuuShukrani
nimekusoma vyema budaNdiyo mkuu
Mangi Kisarika wa Uru na mwanae Mangi Sabas.