Huyu ni chizi fuleshi

Huyu ni chizi fuleshi

oh my god, hapo kama sio mtoto kumkana mama basi ni kuwa kichaa zaidi yake maana hapo hawezi kumuonya chochote mtoto wake.

Yaan kwa kweli hii ni balaa, wanawake wengine unaweza kuingia relation nae alafu unabaki kwenye sintofahamu kama hiyo.

Ni wazi huyu hawezi kuwa mama wa kumpa mtoto tena wa kike malezi mazuri.Hapa Sugu inabidi afikirie vyema sana kwa ajili ya mtoto.
 
Hapana hawa wawili akili zao zinafanana sugu katulia kwa sasa kwasababu ya CHADEMA ila ikitokea akatoka utamjua vema

lakini kweli maana ndege wa aina moja huruka pamoja...kwa hiyo si ajabu sugu akitoka CHADEMA si ajabu kurudiana!!
 
Huyu dawa yake unamkalisha kwenye kiti cha bati kilichokaa sana kwenye baridi vitako vyake vikikutana na ule ubaridi lazima aachie kishuzi
 
mheshiwa..kwa shemeji yetu ajaye please...please usituletee mac....gu hayo...
 
Jamani itabidi niache sasa maana nyuzi zangu zitanikosanisha na mabest wangu wengi tu lol

Sana........kama mimi nimekununia mbaya.........sitaki kabisa........
nilikuwa nataka nizungumzie hivyo vitako ka kona ya tetere ya ubuyu nichape zangu mwendo..........okeee bai......
 
Sana........kama mimi nimekununia mbaya.........sitaki kabisa........
nilikuwa nataka nizungumzie hivyo vitako ka kona ya tetere ya ubuyu nichape zangu mwendo..........okeee bai......

Hahahahaaaaaaa jamani Preta hata wewe pia...? Lol
 
Last edited by a moderator:
wanawake huwa wanajidhalilisha wenyewe... nguo gani hiyo yakuvaa kwnye watu wengi!!!!?
 
Back
Top Bottom