masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,792
- 16,756
Mpwa nikiwa na kigodoro nitakualika
ila mpwa siku hizi naogopa hata kuchat na wewe wasap maana nyuzi zako duuuh
Mpwa nikiwa na kigodoro nitakualika
huyu nimikanda hivyo ndo vimembana, halafu inaonekana ana stress saaana! si unajua tena kuachwa, halafu hakuna mwenye interest na wewe hata bure? lol lol.. lazima sura ikushuke kama umeshikwa na nyama mdomoni.. lol lol..kuna wembamba lakini tako laini
sasa mtu umekakamaa kama unapimwa uzito inakuaje???
Jamani itabidi niache sasa maana nyuzi zangu zitanikosanisha na mabest wangu wengi tu lol
Jamani itabidi niache sasa maana nyuzi zangu zitanikosanisha na mabest wangu wengi tu lol
huyu nimikanda hivyo ndo vimembana, halafu inaonekana ana stress saaana! si unajua tena kuachwa, halafu hakuna mwenye interest na wewe hata bure? lol lol.. lazima sura ikushuke kama umeshikwa na nyama mdomoni.. lol lol..
huyu dada ameshindwa kumov on
yaani embu itazame vizuri sura yake ni kama tumbo linakata
Ni mama wa mtoto mmoja wa kike
tako gumu hivyo kama ndimu kavu
tako tamu ni lain
Hahaa.. una mambo sana masai dada. Wengine hatupendi wowowo yani hapo ndo tunatua mabegi mazima
Ha aha ahaaaaa....
We Dada wewe!!!!😀😀😀