Huyu ni chizi fuleshi

Huyu ni chizi fuleshi

Naomba kujua anatoka pande ipi katika Tanganyika hii. (Sina element za ubaguzi nataka kujua tu kama ni mtani wangu...)
 
Shame on her!? Sijui amewezaje kutoka nyumbani akiwa hivyo... na wanaokaa nae wakimwona, pengine na mwanawe... Its really a tragedy! Kama ameweza kufanya hivi ana uwezo mkubwa wa kufanya madudu mengine makubwa zaidi, maana alishawahi toka na nepi...
 
Yaan kwa kweli hii ni balaa, wanawake wengine unaweza kuingia relation nae alafu unabaki kwenye sintofahamu kama hiyo.

Ni wazi huyu hawezi kuwa mama wa kumpa mtoto tena wa kike malezi mazuri.Hapa Sugu inabidi afikirie vyema sana kwa ajili ya mtoto.

mheshimiwa aliishamtema kitambo. . sema ndio hivyo inabidi ajifunze sio kuokota okota tu wanawake mtaani.. aisee huyu sio bure kuna laana inamsumbua.
 
Mi bado siamini ninachokiona kwani kuna siku nilienda kahama kikazi, sasa pale kuna kijiwe maarufu nimekisahau jina nikaenda kujirusha huko usiku. Kulikuwa na vibinti vya aina mbali mbali bali mimi sikuwa na shida navyo bali nilikuwa nacheza muziki na kujiburudisha kwa moja moto moja baridi. Mara akaingia binti mmoja ambaye kwa mbali ungefikiri haja vaa nguo chini. kwani alivaa ki-top lakn kwa chini kama yuko alivyozaliwa. Mimi nikawa namwangalia sana bila kuamini, nafikiri yeye akajua nimevutiwa naye hivyo akaja kwenye meza lilikokuwa nimeketi, ndipo nilipogundua kuwa kumbe alikuwa amevaa skin-tight yenye rangi kama ya ngozi yake. Hivyo na huyu labda ameunganisha na vitambaa vyenye rangi ya ngozi yake. Kama siyo hivyo basi kuna tatizo kubwa zaidi kwa binti huyu wa watu
 
giphy.gif
 

hebu tuwekeni masihara pembeni wadau, hivi huyu ndio mzazi kweli? maana ana watoto wakubwa tu , maana ana watoto wakubwa na mkuu flani mwenye jina la uheshimwa huko pande za jengo la idodomya.

mikato yake mingine ni kama hii...mie nadhani huyu ilibidi akumbane na sheria kama ile ya kwenye soka ambapo shabikianaweza zuiwa kuingia uwanjani kutazama mechi mpaka pale adhabu yake itapoisha , kwani mimi napata wasi wasi mkubwa na utimamu wa akili yake. mtanisamehe bure kwa wale timu "u.chi u.chi".
Faiza%2B2.png
10853075_757908014303125_1096924850_n.jpg
1169188_309188889291073_360486838_n.jpg
 
hebu tuwekeni masihara pembeni wadau, hivi huyu ndio mzazi kweli? maana ana watoto wakubwa tu , maana ana watoto wakubwa na mkuu flani mwenye jina la uheshimwa huko pande za jengo la idodomya.

mikato yake mingine ni kama hii...mie nadhani huyu ilibidi akumbane na sheria kama ile ya kwenye soka ambapo shabikianaweza zuiwa kuingia uwanjani kutazama mechi mpaka pale adhabu yake itapoisha , kwani mimi napata wasi wasi mkubwa na utimamu wa akili yake. mtanisamehe bure kwa wale timu "u.chi u.chi".
Faiza%2B2.png
10853075_757908014303125_1096924850_n.jpg
1169188_309188889291073_360486838_n.jpg

Ukisikia chizi anayepaswa kuwa mirembe ndio huyu
 
Back
Top Bottom