Mzee wa Posho
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 160
- 13
Huyo namba 4 ana Phd ya Kanisani hatutaki Udini hapa! Hatuchagui Padre hapa aende kugombea Cheo cha Kadinal Pengo atashinda kwani alisha wahi kuwa Padre
Hahahahhahaha nimeipenda hii! Hivi kweli Dr Slaa Phd yake ni kanisani nasikia alikua Padre? Wadau naomba msaada kwa anaejua Phd ya Slaa ni ya nini? Au ya Church kimtindo?