Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 426
Kwani kila post lazima uchangie?huna cha kufanya au unakula kwa migongo ya watu?
Huyo Mzee uzee unamjia vibaya sana
Kwani kila post lazima uchangie?huna cha kufanya au unakula kwa migongo ya watu?
Hilo jina unalotumia mkuu linanikumbusha mbali. wale wenzetu wa manyara(wairaqw) kwao ni tusi kubwa sana, huwezi tamka mbele za watu. hata kuandika hapa naogopa. anyway turudi kwenye mada, we mtazamo wako ukoje ikitokea magamba wamemsimamisha shein 2015.
mkuu DASA mbona hilo halina kigumizi kuwa chaguo langu ni Dr. Slaa,huyu jamaa sijafahamiana naye barabarani.., mkuu nini maana jina hili?
Ndiyo shida ya magamba hiyo. Mwingine alijiandaa kwa miaka kumi kuwa rais lakini hakuwa na dira hakuwa na vision. Matokeo yake ndiyo tunayaona leo. Badala ya kujiuliza nani atakuwa rais tujiulize tunataka Tanzania ya aina gani na baada ya hapo ndipo tutafute ni nani anayefaa kutufikisha huko.
Ndugu Juma Kilaza naomba usichanganye mambo hapa, unaposema "Mama Migiro Being a woman" unamaanisha nini? na unaposema, "Rais mwenye roho ngumu na asiye na huruma" unamaanisha nini? Je, unamaanisha kwamba tabia zinazowakilishwa na maneno, "Roho ngumu" na "ukosefu wa huruma" ni attributes za jinsia ya kiume na si ya kike pia? kwangu mimi maneno "....being a woman" yanamaanisha kuwa mwanamke yeyote hawezi kuwa kiongozi ambaye anaweza kuchukua maamzi magumu, kwa sababu mwanamke anahuruma na roho nyepesi. hivyo hata akiona nchi yake inaliwa hawezi kufanya chochote kwasababu ya uanauke wake. kwa mtazamo wangu haya ni maneno kandamizi na baguzi. Maneno hukosefu wa huruma, na roho ngumu aweza kuwa nayo mtu wa jinsia yoyote, hivi fikiri mama anayemtupa mtoto wake chooni au jalalani je anakuwa na huruma au roho nyepesi? si kweli mama huyu anaroho ngumu kwasababu amefanya maamuzi magumu ya kumtupa mtoto wake. labda tumjadili Migiro kama Migiro na si uanuke wake. Ninachotaka kusema ni kuwa mtu yeyote bila kujali jinsia aweza kuwa kiongozi mwenye kuchukuwa maamuzi magumu au mepesi kullingana na ulivyo wake. tusilete dharau hapa
Mmmh!!!!! na wewe unataka kuwa nani?Ukweli kiongozi Kama Nahodha ni Lulu iliyojificha na kama atakuwa Raisi Tanzania tuitakayo itapatikana watanzania Tuamke Tukipata Rais kuwa Nahodha waziri Mkuu Magufuli Tanzania isiyo namakundi na yenye kujali Wananchi inawezekana.
Acha usenge, huyo hastahili hata kuongoza banda la kuku. Ni upuuzi uliofanywa ili awe mbunge. tuondolee upupu wako hapa.
Hivi wewe unaonglea upuuza gani asa yeye ukajifananishe na ww usiyeweza ata kujadiliwa katika mitandao ya kijamii. ivi unafikiri Nahodha samani yake katika hii Tanzania ni zaidi kuliko ata Nyerere kwa muda huu.
Na kama hastahili ana stahili ivi sasa kuku mmoja nayekuongoza ni wewe mana yeye ndo waziri wako wa mambo ya ndani Asa sijuwi kuku wewe utatoka bandani ukapandiwe na majogoo ya nje auu utabaki katika banda analoliongoza yeye...................
"Think before saying" wewe usikurupuke tu kuchangia huu mtandao wa watu wenye akili kama sisi. changia yenye kuleta maani Mpime kwa Udhani unaeleweka si kusema tu. I hope Mungu Ambariki Awe RAIS
akauze visheti huko znz..amuongoze nani hapa