Kimilidzo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 1,346
- 627
Nyerere alijenga Nchi na kulinda thamani ya shilingi, Mwinyi akabomao nchi na kuporomosha shilingi. Akaja Mkapa akajenga uchumi na kuzuia mfumuko wa bei, Kikwete kabomoa uchumi na kuruhusu mfumuko wa bei kwenda kasi kama maji ya mvua na shilingi leo ni 1850. Sasa kuna haja gani tena rais ajaye atoke upande huo?