Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,653
- 11,957
Nimeona tu niweke hili wazi kwa moyo mweupe kabisa. Duniani kwa sasa tumekuwa busy sana hatuna tena muda wa kufukuzia mapenzi na kusumbuana mchana na usiku kimapenzi.
Mimi siwezi na niseme si mzuri wa kutongoza. Huwa nikimpenda mwanamke namwambia tu kuwa nakupenda naomba tuwe na mahusiano ya kimapenzi.
Short and clear. Akikubali ndo tunaanza. Akisita basi naachana naye naendelea mbele. Kwa kweli muda wa kuanza kubembeleza mtu ambaye sijawa naye sina na siwezi.
Ila tunapoanza mapenzi naweza bembeleza sana ili nisije tena pata usumbufu tunapoachana kutafuta mwingine.
Sasa ni hivi. Natafuta mwanamke ambaye ni matured. Anajielewa na anaelewa anataka nini. Umri ni kuanzia miaka 30 plus. Naamini huyu atakuwa tayari amekomaa kiakili. Awe mzuri.... Elimu angalau ya chini kabisa iwe ni Certificate. Afahamu kiingereza pia.
Awe na mwili wa unene asiwe mwembamba sana. Awe na nyama...ili hata ikitokea siku hatuna pesa tuchome hata mishkaki. Sipendelei wanawake vimbaumbau.
Rangi awe nayo ya asili. Iwe black or white. Asiwe amejichubua uso na mwili rangi tofauti. Tutakuwa wapenzi marafiki. Awe tayari kwanza kupima afya nami pia. Kisha tuwe tunakutana kwanza tunatoka out na kuzoeana.
La muhimu sana. Awe tayari tufahamiane sehemu tunazoishi. Tuaminiane na pia we mcheshi mimi si muongeaji sana. Tutasaidiana ila asitangulize pesa mbele. Mimi sitokuwa nikimnunua ila nitakuwa nikimsaidia anapokuwa na mahitaji.
Mimi siwezi na niseme si mzuri wa kutongoza. Huwa nikimpenda mwanamke namwambia tu kuwa nakupenda naomba tuwe na mahusiano ya kimapenzi.
Short and clear. Akikubali ndo tunaanza. Akisita basi naachana naye naendelea mbele. Kwa kweli muda wa kuanza kubembeleza mtu ambaye sijawa naye sina na siwezi.
Ila tunapoanza mapenzi naweza bembeleza sana ili nisije tena pata usumbufu tunapoachana kutafuta mwingine.
Sasa ni hivi. Natafuta mwanamke ambaye ni matured. Anajielewa na anaelewa anataka nini. Umri ni kuanzia miaka 30 plus. Naamini huyu atakuwa tayari amekomaa kiakili. Awe mzuri.... Elimu angalau ya chini kabisa iwe ni Certificate. Afahamu kiingereza pia.
Awe na mwili wa unene asiwe mwembamba sana. Awe na nyama...ili hata ikitokea siku hatuna pesa tuchome hata mishkaki. Sipendelei wanawake vimbaumbau.
Rangi awe nayo ya asili. Iwe black or white. Asiwe amejichubua uso na mwili rangi tofauti. Tutakuwa wapenzi marafiki. Awe tayari kwanza kupima afya nami pia. Kisha tuwe tunakutana kwanza tunatoka out na kuzoeana.
La muhimu sana. Awe tayari tufahamiane sehemu tunazoishi. Tuaminiane na pia we mcheshi mimi si muongeaji sana. Tutasaidiana ila asitangulize pesa mbele. Mimi sitokuwa nikimnunua ila nitakuwa nikimsaidia anapokuwa na mahitaji.