let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 4,179
- 9,750
Bwana Mdogo, sikupi nafsi ya kumtumia Silverstone Mkapa kama kichaka cha kukwepea Hoja ya msingi.Nakupeleka ignore list, unaharibu viwango vya mazungumzo hapa. Inawezekana una matatizo ya akili.
Umepoteza privileges za kuwasiliana nami moja kwa moja.
Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
Silverstone Mkapa nimemtaja mimi ila ghafla tu umekuwa na Mahaba nae, unataka tuache hoja ya msingi tumjadili yeye.
Haya Mahaba kati yako na Silverstone yameanzia wapi?.
Unamjua?
Nb:- system za Jf hazifanyi kazi.. Unaweza ignore mtu na bado ukaendelea ona anachopost.
Nashauri utafute njia nyingne, uliyoichagua haifanyi kazi.